Ushauri wa haraka kuhusu simu

Ushauri wa haraka kuhusu simu

Habari za siku ndugu zangu wa JF natumai mko salama na wazima wa afya kabisa

Naombeni ushauri wa juu ya aina ya simu ambayo inaweza kufaa kusogezea siku hasa kwa wadau wa mambo haya ya teknolojia

Aina ya simu ni Xiaomi Redmi 9c vs Infinix Hot 10i

Nb ni ushauri wa haraka ndio maana nimeuweka huu uzi jukwaa la hoja mchanganyiko kwa maoni ya wengi na ya haraka zaidi

View attachment 2166834

View attachment 2166835
zote ni infinix
 
Kwa hizo mbili infinix ni nzuri zaidi. Sema kama budget inafika 280,000 tafuta Redmi 9 (na sio 9C) yenyewe ni simu nzuri zaidi.

Ipo pia Samsung A03 (na sio A3s ama A3 core) nayo inapatikana bei hizo hizo ni simu nzuri nayo.
Samahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie Mkuu.
 
Samahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie Mkuu.
Maybe touch ni mbovu mkuu
 
Samahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie Mkuu.
Hiyoo siku utakuta imesingosha
 
Chief-Mkwawa mkuu kwema,naomba ushauri wako hapa kwa matoleo ya samsung s20,s20+,s20 ultra au s21,s21+,s21 ultra ipi hapo ni nzuri zaidi
 
Shukrani sana mkuu je ikilinganishwa na matoleo ya s22 je
 
Bajeti ni isizidi tu 300k
Redmi 9 nimetafuta hapa bongo sijui hamna

Halafu kuna wapigaji pia yaani huko madukani kila mtu na bei yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kanunue samsung A3 au A3s ni nzuri zaid
 
Nimeshachukua hot 10i

Asanteni wote kwa maoni
 
Back
Top Bottom