zote ni infinixHabari za siku ndugu zangu wa JF natumai mko salama na wazima wa afya kabisa
Naombeni ushauri wa juu ya aina ya simu ambayo inaweza kufaa kusogezea siku hasa kwa wadau wa mambo haya ya teknolojia
Aina ya simu ni Xiaomi Redmi 9c vs Infinix Hot 10i
Nb ni ushauri wa haraka ndio maana nimeuweka huu uzi jukwaa la hoja mchanganyiko kwa maoni ya wengi na ya haraka zaidi
View attachment 2166834
View attachment 2166835
Samahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie Mkuu.Kwa hizo mbili infinix ni nzuri zaidi. Sema kama budget inafika 280,000 tafuta Redmi 9 (na sio 9C) yenyewe ni simu nzuri zaidi.
Ipo pia Samsung A03 (na sio A3s ama A3 core) nayo inapatikana bei hizo hizo ni simu nzuri nayo.
Maybe touch ni mbovu mkuuSamahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie Mkuu.
Hiyoo siku utakuta imesingoshaSamahan Chief-Mkwawa kuna infinix hot 10 kuna muda inaamua tuu yenyewe inajitouch touch na kustack hadi mda mwingine kujipiga yenyewe nilijua tatizo ni protector nimeitoa lkn tatizo liko vile vile hasa kwenye joto kali hyo hali inazidi naomba Kama ulishawah kukutana na tatizo Kama hili unisaidie Mkuu.
S21 ultraChief-Mkwawa mkuu kwema,naomba ushauri wako hapa kwa matoleo ya samsung s20,s20+,s20 ultra au s21,s21+,s21 ultra ipi hapo ni nzuri zaidi
s22 ni nzuri zaidi mkuu,Shukrani sana mkuu je ikilinganishwa na matoleo ya s22 je
kanunue samsung A3 au A3s ni nzuri zaidBajeti ni isizidi tu 300k
Redmi 9 nimetafuta hapa bongo sijui hamna
Halafu kuna wapigaji pia yaani huko madukani kila mtu na bei yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo simu za tigo zinatumia na simcard za mitandao mingine pia?Tigoshop Walikua nazo mkuu.
Ukikosa Redmi 9 Samsung A03 sio mbaya pia ila iwe A03 na sio A03s ama A03 core.
Mpaka last time nanunua Redmi 9 zilikuwa zinatumia mitandao yote.Hizo simu za tigo zinatumia na simcard za mitandao mingine pia?