Ushauri wa kanuni bora za kilimo cha Migomba na Soko lake

Kama huamin Mkuu,njoo kirua mtu ana ekari 5 afu mambo ni Yale yale, anyway jambo unalofanya ni jema sana mungu akuongoze kwenye mafanikio
sijabisha. bei inategemea ndizi na ndizi. jiulize kwanini bei ipo hivyo, labda wamefunga mpaka?. je bei ikiwa juu hufika ngapi? je dar ni tsh ngapi?. inatakiwa utafiti sababu kabla ya kuja na conclusion.

ngoja nikupe mfano. Brazil inazalisha 33% ya kahawa duniani. kuna miaka barafu huanguka kwenye mashamba ya kusini na kusababisha uzalishajji mdogo na bei kupanda sana. miaka ambayo uzalishaji ni mkubwa bei huporomoka. siamini mkungu wa ndizi za mtori huwa 600 miaka yote. mwezi uliopita nilinunua mzuzu shambani tukuyu kwa 5000.
 

Mkuu unaongelea tukuyu labda huko ndizi ni adimu, huku kuna kipindi inafika mtu anatoa elfu 2 anaondoka na mikungu 5. All the best bro
 
hii kitu bado iko valid? namaanisha niko interested sana kupata arhi kama eka 10 na kuendelea mkoa wa morogoro vijijini, naweza pata kwa bei kama hiyo??
 
hii kitu bado iko valid? namaanisha niko interested sana kupata arhi kama eka 10 na kuendelea mkoa wa morogoro vijijini, naweza pata kwa bei kama hiyo??
kwa moro ongea na Malila.
 
Last edited by a moderator:
 

Attachments

  • 1448814946988.jpg
    14.3 KB · Views: 475
  • 1448814947810.jpg
    11.9 KB · Views: 448
  • 1448814949703.jpg
    11.6 KB · Views: 445
huyo mwanajeshi anawekaje hayo madumu ya maji katika shimo na matundu yakoje?
 
Asanate kwa update: Hizi Gharama ni Mkoa Gani?
Natafuta mbegu za Ndizi Tamu,nimeuliza nimeambiwa ndizi Tamu zinatoka Moshi/Kilimanjaro
Je zinaweza kustawi ukanda wa Pwani Dar/Mkuranga?
 

Nyie jamaa mnechekesha sana, nakumbuka nilivyokuwa Jkt oljoro tulikuwa na afande mmoja wa jikoni, huyo afande ukiuunguza mboga ama ukipika ugali mbichi lazima uote moto. Yaani unasogezwa karibu na moto mpaka unachanganyikiwa, alikuwa anasema kwa ukali " kurute ota moto, kuruta ota moto" Ukifanikiwa kutoka hapo ni jasho na umeipata fresh, si unajua tena combat inavyojua kupata moto.
 
Red Giant hongera sana shamba limependeza, zaidi ya mbolea ya samadi ni mbolea gani nyingine inayofaa kwa migomba?
 
Last edited by a moderator:
Red Giant hongera sana shamba limependeza, zaidi ya mbolea ya samadi ni mbolea gani nyingine inayofaa kwa migomba?
mbolea ya kiwandani ndiyo nzuri zaidi. migomba inahitaji potasium na nitrogen kwa wingi. hivyo inashauriwa urea, DAP na kcl.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…