Ushauri wa kifedha/nimechoka ushauri wa maneno

Ushauri wa kifedha/nimechoka ushauri wa maneno

rafikimkweli

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
349
Reaction score
121
Hivi ni lini watu wataanza kutoa ushauri wa kifedha na kuacha kutoa ushauri wa maneno matupu??

Una kuta mtu anatatizo la kifedha bado wewe unampa ushauri wa maneno, halafu bado unakua hujamtatulia tatizo lake, eti mnaita ushauri nasaha, ushauri nasaha my foot, tunataka hela na si maneno matupu, maneno matupu hayavunji mfupa.

Tunataka ukiweka Bango kua unatoa ushauri nasaha make sure unatoa na ushauri wa kifedha at the same time.

Weekend njema wadau wooote wa cc.

Dumisheni ndoa zenu, kuweni makini na vilevi tukutane tena jumatatu panapo majaaliwa.
 
Ulikuwa taifa? Unaangaliaga football eeh kijana mwenzangu


Au basi nimestuka kumbe unamaanisha kiwanja cha kujirusha rusha


Maisha yenyewe mafupi ndugu acha tule ujana!
 
Hivi ni lini watu wataanza kutoa ushauri wa kifedha na kuacha kutoa ushauri wa maneno matupu??

Una kuta mtu anatatizo la kifedha bado wewe unampa ushauri wa maneno, halafu bado unakua hujamtatulia tatizo lake, eti mnaita ushauri nasaha, ushauri nasaha my foot, tunataka hela na si maneno matupu, maneno matupu hayavunji mfupa.

Tunataka ukiweka Bango kua unatoa ushauri nasaha make sure unatoa na ushauri wa kifedha at the same time.

Weekend njema wadau wooote wa cc.

Dumisheni ndoa zenu, kuweni makini na vilevi tukutane tena jumatatu panapo majaaliwa.


Ninaamini kweli elimu ni ufunguo wa maisha.

Unaweza kuwa na fedha lakini bila maarifa hazikusaidii na hazidumu.

Unaweza kuwa huna fedha lakini maarifa yatokanayo na ushauri yakakupa fedha za kutosha maisha yako yote.

Unajua ni kwa nini watu hawakuishambulia hii thread?

Ni kwa sababu walijua imeanzishwa na changu, juha gumegume ambaye kichwa kiko sehemu ya pili.
 
Ninaamini kweli elimu ni ufunguo wa maisha.

Unaweza kuwa na fedha lakini bila maarifa hazikusaidii na hazidumu.

Unaweza kuwa huna fedha lakini maarifa yatokanayo na ushauri yakakupa fedha za kutosha maisha yako yote.

Unajua ni kwa nini watu hawakuishambulia hii thread?

Ni kwa sababu walijua imeanzishwa na changu, juha gumegume ambaye kichwa kiko sehemu ya pili.

Umetisha mkuu
 
Back
Top Bottom