Unyanga
JF-Expert Member
- Feb 6, 2011
- 402
- 83
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, ila nimekuwa nina uzito mkubwa sana mpaka najiogopa, nina uzito wa kilo 98.5 kitu ambacho nahisi sio kizuri kwangu.
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikikaribu kufanya mbinu za kupunguza uzito lakini nagonga mwamba, nimekuwa walau nikifunga wiki nzima nakufuturu machungwa tu, pia hufanya mazoezi kama kukimbia uwanja wa mpira mara nane kwa siku japo sio kila siku kutokana na majukumu mbali mbali, kuruka kamba walau mia tano kwa siku na kufanya mazoezi ya viungo, lakini mwili umekuwa haupungui kihivyo na isitoshe nikiacha mazoezi tu hata wiki ndo unarudi kwa kasi.
Vyakula ninavyotumia ni wali ugali, nyama, samaki, maharage na mikate mara kwa mara, pamoja na chipsi na mishikaki mara moja au mbili au mbili kwa wiki.
Kiukweli sina kitambi wala tumbo kubwa kihivyo ila nyama za tumbo ndo zinaongezeka. Plzzz kwa wataamu nishaurini nifanyeje walau nirejee kila 75 au 80 kwa muda mfupi.
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikikaribu kufanya mbinu za kupunguza uzito lakini nagonga mwamba, nimekuwa walau nikifunga wiki nzima nakufuturu machungwa tu, pia hufanya mazoezi kama kukimbia uwanja wa mpira mara nane kwa siku japo sio kila siku kutokana na majukumu mbali mbali, kuruka kamba walau mia tano kwa siku na kufanya mazoezi ya viungo, lakini mwili umekuwa haupungui kihivyo na isitoshe nikiacha mazoezi tu hata wiki ndo unarudi kwa kasi.
Vyakula ninavyotumia ni wali ugali, nyama, samaki, maharage na mikate mara kwa mara, pamoja na chipsi na mishikaki mara moja au mbili au mbili kwa wiki.
Kiukweli sina kitambi wala tumbo kubwa kihivyo ila nyama za tumbo ndo zinaongezeka. Plzzz kwa wataamu nishaurini nifanyeje walau nirejee kila 75 au 80 kwa muda mfupi.