OBD Mwenyewe
Member
- Dec 10, 2017
- 14
- 3
Wadau wa JF naombeni ushauri nataka kuanzisha program ya kukopesha ela kwa wajasiriamali tu ili kuinuana kiuchumi. Kama unajua njia sahihi ya kuanzisha hiyo program, hasara na faida zake naomba unisaidie. Pia kwa mtu ambaye anayo hilo wazo naomba anitafute kwa no 0620463178