Ushauri wa kufungua kampuni ya transportation and logistics

ninjajr

Senior Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
170
Reaction score
173
Salaam JF.

Nimekuja hapa nikiwa na imani ya kuwa jf ni uwanja mpana uliosheheni watu wenye ujuzi tofauti.
Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana elimu na uzoefu katika masuala mazima ya kumiliki pamoja na uendeshaji kupitia kampuni inayohusia na Transportation and logistics.

Nakarabisha mawazo yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…