Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Habari wana jamvi,
Kama nilivyo tanguliza maombi hapo juu kuhusu kufungua kampuni ya mechanical maintenance & services.
Binafsi ni mechanical engineer na ninauzoefu wa kazi viwandani, kitambo, migodini. Tanzania na Nchi za nje pia.
Hadi kufikia sasa nimefanikiwa kukusanya vifaa vifuatavyo:-
1- Potable Welding machine 3
2- Engle Grinder 2
3- Bench Grinder 1
4- Hand Drilling machine ?
5- Revert Gun 2
6- Pensal Grinder 1
7- Chain Block Two Ton 1
8- Drill bit 2mm to 20mm
9- Ratchet Set with Box spaner from 6mm to 32mm
10- Threads Tap Male & Female from 2mm to 20mm
11- Combination Spaners from 8mm to 36mm
12- Hack Saw 2
13- Gig Saw 1
14- Grease pump 2
Vifaa vyote ni vipya na kuna baadhi sijaweza kuvitaja.
Maswali langu ni:-
Je usajili wa kampuni kama nilivyo tanguliza kutaka hapo juu unagarimu kiasi cha shilingi ngapi?
Je itanichukua muda gani hadi kukamilisha usajili?
Je kwa vifaa nilivyo viorodhesha vitatosha kuanzisha kampuni?
Nawakilisha
Kama nilivyo tanguliza maombi hapo juu kuhusu kufungua kampuni ya mechanical maintenance & services.
Binafsi ni mechanical engineer na ninauzoefu wa kazi viwandani, kitambo, migodini. Tanzania na Nchi za nje pia.
Hadi kufikia sasa nimefanikiwa kukusanya vifaa vifuatavyo:-
1- Potable Welding machine 3
2- Engle Grinder 2
3- Bench Grinder 1
4- Hand Drilling machine ?
5- Revert Gun 2
6- Pensal Grinder 1
7- Chain Block Two Ton 1
8- Drill bit 2mm to 20mm
9- Ratchet Set with Box spaner from 6mm to 32mm
10- Threads Tap Male & Female from 2mm to 20mm
11- Combination Spaners from 8mm to 36mm
12- Hack Saw 2
13- Gig Saw 1
14- Grease pump 2
Vifaa vyote ni vipya na kuna baadhi sijaweza kuvitaja.
Maswali langu ni:-
Je usajili wa kampuni kama nilivyo tanguliza kutaka hapo juu unagarimu kiasi cha shilingi ngapi?
Je itanichukua muda gani hadi kukamilisha usajili?
Je kwa vifaa nilivyo viorodhesha vitatosha kuanzisha kampuni?
Nawakilisha