Kama rejesho la mkopo wako ni kutoka kwenye mshahara wako na ni mtumishi wa umma usijiulize mala mbili mbili kakope malizia nyumba yako
Kama rejesho lako la mkopo ni kutokana na biashara zako my dear achana na hill wazo biashara zinakufa kila siku kwa sasa hali ya kibiashara siyo nzuri, ukitembelea tasisi za kifedha hususani mabank sana Mali nyingi za wateja wanaziuza kisa wadaiwa wamekosa kufanya marejesho
Nyumba ni kitu cha kudumu, biashara zipo tu madau ukijenga leo utaabika mda mfupi kisha utatafuta pesa ya biashara ukiwa tayali unakwako