The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
“Watu wanaenda Krismasi na nyie wote mlioko hapa mnaenda Krismasi, wapo wa Moshi, wapo wa Arusha, wapo wa Mbeya, wapo wa Iringa na wengine Songea nyumbani kwetu, ulaji utakuwa wa kupitiliza, ulaji wa nyama utaongezeka, vinywaji vya kupitiliza kila kitu kitakuwa cha kupitiliza , wapo ambao wakirudi Januari wanaweza kurudi sawa kwa lugha za waandishi kurest lakini salamu zangu za Krismasi kuzingatia ulaji.”
Prof. Mohamed Janabi
Prof. Mohamed Janabi