Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmi hamu ninaipata zaidi kwenye nyama na ndizi basi lakini vyakula vingine ndo jauKumbuka tuko kwenye harakati za kutafuta hamu ya Kula kabla krismas haijawadia.
Ndo wapi huko mkuuUkiripoti kutoka katika keyboard ya Simu Yako Dar es Salaam
Unaifahamu ngopyolo?Labda wa huko kwenu dasalamu ila huku kwetu ngopyolo unapiga msosi wa kutosha na asubuh unawahi kubeba magogo ya kuchochea mabani ya tumbaku kitambi kitatoka wapi!
Huyu Prof amekuwa kama mama lishe, issues zake ni chakula tuu hana ushauri mwingine.“Watu wanaenda Krismasi na nyie wote mlioko hapa mnaenda Krismasi, wapo wa Moshi, wapo wa Arusha, wapo wa Mbeya, wapo wa Iringa na wengine Songea nyumbani kwetu, ulaji utakuwa wa kupitiliza, ulaji wa nyama utaongezeka, vinywaji vya kupitiliza kila kitu kitakuwa cha kupitiliza , wapo ambao wakirudi Januari wanaweza kurudi sawa kwa lugha za waandishi kurest lakini salamu zangu za Krismasi kuzingatia ulaji.”
Prof. Mohamed Janabi
View attachment 3175090
Ndo alichoelewa huko shule, unataka ashauri asichoelewa?Huyu mzee kila ushauri atakaoutoa basi asilimia 90 unagusu kula kula tu! shida nini?
Hivi akipulizwa na upepo hadondoki kweli?Huyu Prof amekuwa kama mama lishe, issues zake ni chakula tuu hana ushauri mwingine.
Hahahaha, mtori au siyoMmi hamu ninaipata zaidi kwenye nyama na ndizi basi lakini vyakula vingine ndo jau
Au tuanze kubugia supplements
Hata mtori fresh piaHahahaha, mtori au siyo
Yaani hiyo siku kuu naisubiri kwa hamu na gamu mkuu. Hata kama chakula hakishuki nitakilazimisha.Hata mtori fresh pia
Hapana kiongoziUnaifahamu ngopyolo?
Vipi hapo ntuso unapapata?
Magonjwa yote karibu 90% yanaanzia tumboniHuyu mzee kila ushauri atakaoutoa basi asilimia 90 unagusu kula kula tu! shida nini?
Dah kwann mapera nimecheka Sana maana nayaanda nipate juice😂😂Anataka tule mapera? Sisi tuna miaka 40 tunakula pilau Kisha nyama zinafuata