Mimi nashauri uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho na sheria ziwekwe vizuri. Wataalamu wengi wanasingizia muda wakati huo huo wanasema sheria zinahitaji kubadilishwa. Hivyo hakuna sababu ya kwenda kwenye uchaguzi ambao kwa ulivyo sasa utashusha na kupunguza uaminifu wa hata uchaguzi wa mwakani. Ingekuwa rahisi zaidi kama chaguzi za serikalli za mitaa na uchaguzi mkuu kuchanganywa. Nashauri kwa nia nzuri maana bila hivyo kuanzia mwisho wa uchaguzi huu ambao kwa sheria hizi utalalamikiwa kama ule uliopita tu.
View: https://youtu.be/tYSTG-AWM6c?si=ud79KrOFT3HiefHh
View: https://youtu.be/tYSTG-AWM6c?si=ud79KrOFT3HiefHh