Pre GE2025 Ushauri wa Serikali: Uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho

Pre GE2025 Ushauri wa Serikali: Uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mimi nashauri uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho na sheria ziwekwe vizuri. Wataalamu wengi wanasingizia muda wakati huo huo wanasema sheria zinahitaji kubadilishwa. Hivyo hakuna sababu ya kwenda kwenye uchaguzi ambao kwa ulivyo sasa utashusha na kupunguza uaminifu wa hata uchaguzi wa mwakani. Ingekuwa rahisi zaidi kama chaguzi za serikalli za mitaa na uchaguzi mkuu kuchanganywa. Nashauri kwa nia nzuri maana bila hivyo kuanzia mwisho wa uchaguzi huu ambao kwa sheria hizi utalalamikiwa kama ule uliopita tu.


View: https://youtu.be/tYSTG-AWM6c?si=ud79KrOFT3HiefHh
 
Hakuna mtu anajitambua ataendelea kushiriki hizi chaguzi za kishenzi. Chaguzi zetu zitaendelea kuwa na wapiga kura wachache mno Hadi kupoteza maana. Uchaguzi wa 2020 ulikuja kufanya hitimisho kwa wengi kuendelea kushiriki chaguzi hizi za kihuni.
 
..mambo yamelalamikiwa kwa miaka 30+ halafu bado watu wanaambiwa wawe na subira.
 
Mimi nashauri uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho na sheria ziwekwe vizuri. Wataalamu wengi wanasingizia muda wakati huo huo wanasema sheria zinahitaji kubadilishwa. Hivyo hakuna sababu ya kwenda kwenye uchaguzi ambao kwa ulivyo sasa utashusha na kupunguza uaminifu wa hata uchaguzi wa mwakani. Ingekuwa rahisi zaidi kama chaguzi za serikalli za mitaa na uchaguzi mkuu kuchanganywa. Nashauri kwa nia nzuri maana bila hivyo kuanzia mwisho wa uchaguzi huu ambao kwa sheria hizi utalalamikiwa kama ule uliopita tu.


View: https://youtu.be/tYSTG-AWM6c?si=ud79KrOFT3HiefHh

Naunga mkono hoja.
Huu uchaguzi ufanyike kwa pamoja 2025 linalofanyika Sasa ni kutafuna pesa za walipa kodi.
 
Mambo ya ubinafsishaji= Yanaenda kwa Hati ya dharura
mambo ya Wananchi= Subirini hadi 2029
Nini kilicho nyuma ya pazia ya hizi delays za zaidi ya miaka 20?
 
Mimi nashauri uchaguzi wa serikali za mitaa usogezwe mpaka mwaka kesho na sheria ziwekwe vizuri. Wataalamu wengi wanasingizia muda wakati huo huo wanasema sheria zinahitaji kubadilishwa. Hivyo hakuna sababu ya kwenda kwenye uchaguzi ambao kwa ulivyo sasa utashusha na kupunguza uaminifu wa hata uchaguzi wa mwakani. Ingekuwa rahisi zaidi kama chaguzi za serikalli za mitaa na uchaguzi mkuu kuchanganywa. Nashauri kwa nia nzuri maana bila hivyo kuanzia mwisho wa uchaguzi huu ambao kwa sheria hizi utalalamikiwa kama ule uliopita tu.
Naunga Mkono hoja!.
Nimetoa hoja kama hii mara mbili, Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana! kisha

Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

Na sikuishia kuandika tuu jf, bali nimendikia makala
1715362859433.png


Na kuisema wazi kwenye mikutano ya mapendekezo!.
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=xTaadxXIHp2ExGXB

P
 
Back
Top Bottom