Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Siku za hivi karibuni ndio nimeelewa ile kauli ya "heshimu wazee" watu wengi wamekuwa wakitusisitiza vijana kuheshimu wazee na kuwaomba ushauri wazee na wale waliokuzidi umri sababu mara waliopitia mengi na wenye matatizo mengi ndio wenye ushauri mzuri.
Lakini vile vile nimekumbuka ile kauli ya "ujana maji ya moto" sisi vijana tunapopeana ushauri hasa unapokuta unamuomba ushauri kijana wa rika lako, huwa tunapeana ushauri fulani hivyo high risk, risk.. usipokuwa makini jera hii hapa inakuita.
Japo sio kila mzee ana busara hata machizi nao huzeeka kuwa makini na watu wa kuwaomba ushauri hasa wale wa rika lako maana jera inakuita muda sio mrefu.
Hebu tuambie kidogo ni ushauri gani uliwai kupewa na kijana mwenzio mpaka leo unajutia.
Lakini vile vile nimekumbuka ile kauli ya "ujana maji ya moto" sisi vijana tunapopeana ushauri hasa unapokuta unamuomba ushauri kijana wa rika lako, huwa tunapeana ushauri fulani hivyo high risk, risk.. usipokuwa makini jera hii hapa inakuita.
Japo sio kila mzee ana busara hata machizi nao huzeeka kuwa makini na watu wa kuwaomba ushauri hasa wale wa rika lako maana jera inakuita muda sio mrefu.
Hebu tuambie kidogo ni ushauri gani uliwai kupewa na kijana mwenzio mpaka leo unajutia.