Ushauri wa wazo la kibiashara kwa Mwanza, Dodoma na Dar es Salaam

But all in all.. nice advice atamm nmechukua kitu hapo. Tafanyia kaz from one place to another
 
Sio kwamba kila mwenye Pesa lazima afanye Biashara hilo ni muhimu sana.

Sasa basi.

Kwenye Biashara fanya kile unacho kipenda kutoka moyoni mwako. Swala la ufanye nini ni wewe kuumiza akili. Biashara inahitahi kuumiza mno akili tena wakati huu ambao kuna Techinolojia kubwa.

Mkuu umiza kichwa na si kwamba lazima ti ufanye kile ambacho kila mtu anafanya.

Biashara zote zina faida ilimuradi unatatua changamoto za wateja.

Hapa utaambiwa kile ambacho kila mtu anapenda. Mimi nitakuambia fuga nyoka kwa sababu tu nafuga. Kuna atake kwambia fungua Duka la kuuza mayai kwa sababu tu yeye anafanya hivyo.

Wewe umiza kichwa na ukijua kabisa kufanikiwa kutategemeana na Conmitment yako na ubunifu pia.

Make unaweza kuwa na Commitment ila ubunifu ukawa huna sasa itakuwa kazi bure tu.
 
Chif kwa sasa hakuna biashara mpya,biashara nyingi ni zilezile,
Cha msingi ni ww kufanya uchambuzi kutokana na mtaji wako ili ujue ni ipi biashara itakayo kuvutia,

Mm nimekuchagulia mwanza kwasababu ni jiji lenye mzunguko mzuri wa fedha lkn pia vitu vina bei nzuri sana,
Pia muingiliano wa wafanyabiashara wa mikoa jirani na mwanza pamoja na wa inchi jirani ni wengi,lkn pia hata ziwa,migodi,kilimo ni vitu vyenye mchango mkubwa sana vyenye kichochea uchumi wa jiji la miamba,
Hii imekaaje mkuu ..nipe na idea kabisa.
 
Nafuatilia mawazo yatakayotolewa na mimi naweza nikapata kitu.
 
Mkuu kwema? Nicheki Pm..
 
ng ng'ong'ona hakikisha unajua kuroga....ila ni sehemu nzuribya biashara kama unajua mambo ya giza
 
Wakati mwingine unakuwaga na akili?
 
Wakati mwingine unakuwaga na akili?
Kwani wakati mwingine sina akili?
Wewe mwenyewe unaelewa akili nilizonazo nilikuwa kwenye final stage ya kubadilisha akili zako nizifanye ninavyotaka sema ulishtuka mwishoni sana.
 

Mzaleee unamaanisha biashara yoyote wewe unataka kufanya?.
 

Car wash dar es salaam eneo unalo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…