Ushauri wa wazo la kibiashara kwa Mwanza, Dodoma na Dar es Salaam

Ushauri wa wazo la kibiashara kwa Mwanza, Dodoma na Dar es Salaam

Wakuu kwema?

Nina mtaji wa million mbili(2m),nimekuja kwenu kama wana jamii nikihitaji mawazo bora ya ujasiliamali kwa mikoa ya Mwanza,Dodoma na Dar es salaam,mikoa hii nimeichangua nikiwa na maana ya kuwa nipo tiari kufanya biashara moja ya mikoa hiyo sasa ni kufuatana na ubora wa wazo lenyewe ndo litaamua mkoa wa kuchanguliwa kati ya hiyo.

Naamini hapa hakishindikani kitu na nina uhakika nitapata ushauri ulio bora kabisa,basi nikualike wewe uliyeko katika moja ya mikoa tajwa hapo tujumuike katika mjadala huu,karibuni na asanteni sana.
 
Nimekaa sehemu zote mbili na niki linganisha na mtaji inakuja list hii ya biashara.

1)Mgahawa (Dodoma)
Sometime nilikuwa nashangaa wafanya Biashara wa Dom wasiofanya hii, kuna sehemu inaitwa Ng'ong'ona wanakula wanafunzi wa Chuo ukiwa serious unapiga pesa hadi utasema....what hell.

2)CarWash (DSM)
Hii ukiweka iliyo serious DSM unatusua Magari mengi then haiitaji mahesabu mengi | Kama utataka hii minipo tayari kukusapoti kuisimamisha hii tunaweza kukaa chini.
Hello, nataman kupata no yako kwajili ya biashara ya carwash Dsm please
 
Back
Top Bottom