Ushauri: Waigizaji wa kiume wanaoigiza kama wanawake wapigwe marufuku

Ushauri: Waigizaji wa kiume wanaoigiza kama wanawake wapigwe marufuku

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Tukianza na Joti, na yale majamaa ya kwenye zekomed za Masanja, aje yule dogo anafaa dera anaigiza Juakali/not so sure ila tamthilia kule DSTV, wanaume wanavaa manguo ya kike na kuigiza kama wanawake, wapigwe marufuku kwasababu kidogo kidogo wanafanya jamii ione muonekano wa aina hiyo kwa mwanaume ni kitu cha kawaida.

Kiufupi, hawa ndio wanaoeneza ushoga bila wao kujijua na kufanya jamii izoee taswira za kishogashoga.
 
Tatizo la wabongo bnana yaani ni watu wepesi wa kudakia mambo!!halafu si muda mrefu utasikia ziiiiii!!hatueleweki hata tunataka nini,yaani baada ya hili jambo kuibukia kenya sasa ni kwendq na upepo tu!

Tanzania sheria ziko wazi juu ya hilo jambo,kwani kuzuia kuvaa au kuigiza hivyo ndio soln?

Mwingine anasema mala katuni zote zipigwe marufuku!!!Hao watu wazima wanao walawiti watoto wadogo kila siku wamejifumzia wapi kama sio roho za kishetani tu?
 
Tusifuate upepeo si ndio hivo mkuu?
Ni ajabu yaani leo wananchi badala ya kuandamana juu ya hali ngumu ya maisha (mfumuko huu wa bei)watu wanashindia mlo mmoja!

Wanasiasa hao hao ndio wanaratibu eti maandamano ya kupinga ushoga!!ambao kwa nchi yetu sheria zipo wazi juu ya jambo hilo, kwani limeanza leo hili?

Na kwenye jamii linaweza likafutika kabisa kama huko uarabuni na sheria zao kali za hukumu ya kifo lakini bado upo.

Kipindi kile cha MAKONDA!! serikali si ilitoa msimamo wake baada ya kuanza kuwakamata na kuwadharirisha watu!!Hata Kenya mahakama ilisema licha ya kuwapa uhuru wa kuunda vikundi lakini wajue katiba hairuhusu matendo hayo na ni kosa la jinai!!
 
Sasa ushasema ni waigizaji. Wako kila nchi sio Tanzania tu huko America kuna hata yule madea au Martin Lawrence aliyeigiza big momma. .

Shida sio uigizaji wale wanatafuta riziki
 
Ni kweli huvuti bangi ila unatumia ndumu
Ndumu bange bangi kush cha arusha kisheri kipinchi kijiti pantera yote hayo ni majina ya ule mmea ukiwa tayari kuvutwa ila sijafanikiwa kuvuta hicho kitu
 
Kwani mashoga wanaliwa na kina nani? Nadhani ifike tu mahala watu tuwe tu na hofu ya Mungu na kurudi kwenye maadili.

Pia tukijaliwa vipato tuvitumie kwenye mambo mema kwasababu nikisoma mitandaoni utasikia kijana flani wa kiume ni mke wa kigogo flani serikalini au tajiri fulani.

Hii inaonyesha watu wakipata pesa wanapitiliza kwenye kufanya dhambi. Pia kuiga kila kitu cha magharibi ni chanzo kingine cha huu ushenzi.

Nimeona kuna kijana anaitwa Frank Maston ni mwanamuziki ambaye yeye hajifichi kwamba ni shoga... na huwa ana watetezi wengi sana. Watetezi wake na yeye binafsi wana uzungu mwingi. TUBADILIKE
 
Tukianza na Joti, na yale majamaa ya kwenye zekomed za Masanja, aje yule dogo anafaa dera anaigiza Juakali/not so sure ila tamthilia kule DSTV, wanaume wanavaa manguo ya kike na kuigiza kama wanawake...
Tumelea upuuzi sasa unatugharimu ... Tulichagua kuwekeza zaidi kwenye siasa na kusahau taaluma na weledi.. Tuliwekeza zaidi kuhakikisha chama chawala kinabakia madarakani matokeo yake ndio haya sasa!
 
Back
Top Bottom