Ushauri: Waigizaji wa kiume wanaoigiza kama wanawake wapigwe marufuku

Ushauri: Waigizaji wa kiume wanaoigiza kama wanawake wapigwe marufuku

Tumelea upuuzi sasa unatugharimu ... Tulichagua kuwekeza zaidi kwenye siasa na kusahau taaluma na weledi.. Tuliwekeza zaidi kuhakikisha chama chawala kinabakia madarakani matokeo yake ndio haya sasa!
hebu jaribu kuimagine, Joti na wajinga wengine, anapovaa na kujirembua kama mwanamke kwa kigezo kwamba anaigiza tu.

Kwenye vichwa vya watu wengi sasaivi wakimuona mwanaume amevaa kama mwanamke hawashtuki kama tulivyokuwa tunashtuka zamani. ujinga mtupu.

Kuna kile kingine kinavaa madera dulvan sijui, akamatwe kabisa. wanasambaza ushoga na tamaduni za kishoga. na shetani amewatumia sana bila wao kujua au kutojua.
 
Tatizo la wabongo bnana yaani ni watu wepesi wa kudakia mambo!!halafu si muda mrefu utasikia ziiiiii!!hatueleweki hata tunataka nini,yaani baada ya hili jambo kuibukia kenya sasa ni kwendq na upepo tu...
Mzee, wewe ndo hueleweki, na hujui kama haueleweki. wewe unajiona kama unaeleweka lakini hata hueleweki kabisa.
 
Mtoa mada anajifanya hajui, sio JUA KALI kwani kuna ubaya ukisema tu huwa unaangalia KITIMTIM?
 
Unashangaa BASATA wanatoa kibali cha huu upuuzi kurushwa kwenye TV na msanii akiichana serikali wimbo wake unafungiwa.
Mambo kama haya hapa si ni kampeni tosha ya kupigia chapuo ushoga!!
Kijana wa Kiume Dulla a.k.a Dada Zuu anavaa madera, anavaa mawigi, anajipodoa, anapoz kama mwanamke na anataja mwanaume mwenzie kuwa mume wake!!!
DSTV wametoa wapi kibali cha kurusha huu ufirauni kama siyo kwa hao BASATA?!!
 
Mambo kama haya hapa si ni kampeni tosha ya kupigia chapuo ushoga!
Kijana wa Kiume Dulla a.k.a Dada Zuu anavaa madera, anavaa mawigi, anajipodoa, anapoz kama mwanamke na anataja mwanaume mwenzie kuwa mume wake...
Ndicho nilichomaanisha mkuu kuwa kinachoshangaza ni BASATA kutoa vibali kwenye huu upuuzi na huwa wepesi sana kufungua nyimbo za harakati....wtf
 
Sasa ushasema ni waigizaji. Wako kila nchi sio Tanzania tu huko America kuna hata yule madea au Martin Lawrence aliyeigiza big momma. .

Shida sio uigizaji wale wanatafuta riziki
Shida sio Riziki
Anaiaminisha jamii kuwa, mwanaume kuvaa /kuigiza kama mwanamke ni jambo la kawaida,pili hata kufanyiwa anavyofanyiww mwanamke pia itakua ni kawaida

Kwannini nafasi anayoigiza kama mwanamke asikae mwanamke,au inalazimu mwanaume anaefanana na mwanamke?
 
Shida sio Riziki
Anaiaminisha jamii kuwa, mwanaume kuvaa /kuigiza kama mwanamke ni jambo la kawaida,pili hata kufanyiwa anavyofanyiww mwanamke pia itakua ni kawaida

Kwannini nafasi anayoigiza kama mwanamke asikae mwanamke,au inalazimu mwanaume anaefanana na mwanamke?
Unamanisha kwa sababu wanaume wataigiza kama mwanamke itawafanya wawe mashoga😊🤣 hii connection mloyoiunganisha sio kwel. Je hawa mashoga ambao wamavaa nguo za kiume ambao hawataki wajulikane ?

Hii nadharia tu ndugu uigizaji au maigizo hayapelekei mtu awe hivyo ni tabia zake binafsi kitambo au laana aliyozaliwa nayo
 
Unamanisha kwa sababu wanaume wataigiza kama mwanamke itawafanya wawe mashoga[emoji4][emoji1787] hii connection mloyoiunganisha sio kwel. Je hawa mashoga ambao wamavaa nguo za kiume ambao hawataki wajulikane ?

Hii nadharia tu ndugu uigizaji au maigizo hayapelekei mtu awe hivyo ni tabia zake binafsi kitambo au laana aliyozaliwa nayo
Embu nipe sababu ya msingi kwanini mwanaume aigize kama mwanamke,ingali wanawake wapo?
 
Embu nipe sababu ya msingi kwanini mwanaume aigize kama mwanamke,ingali wanawake wapo?
Ushasema anaigiza very clear. Hakuna shida pale mwanamke anapoigiza kama mwanaume but its a problem a man acting?

Ila tatizo kuwa mnadhani huu uigizaji husababisha ushoga? Nawaza ni mashoga wangap walikuw wanaigiza kama wanawake? bongo movie
 
DullyvannyView attachment 2548438
Screenshot_20230313-101055.jpg
 
Ushasema anaigiza very clear. Hakuna shida pale mwanamke anapoigiza kama mwanaume but its a problem a man acting?

Ila tatizo kuwa mnadhani huu uigizaji husababisha ushoga? Nawaza ni mashoga wangap walikuw wanaigiza kama wanawake? bongo movie
Pengine wewe huwezi fanya hivyo,ila ukikaa kwenye nafasi kama ya dulivan utaelewa
 
Pengine wewe huwezi fanya hivyo,ila ukikaa kwenye nafasi kama ya dulivan utaelewa
Dulvan ni shoga hajawah kuwa mwanaume. Tolea mfano mtu mwingine. Kuna wengi sana najua ni maigizo tu. .
 
Back
Top Bottom