Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Dogo chenga Sana yuleWaanze na dullvani, haraka sana dogo yule kachakatwa rindaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo chenga Sana yuleWaanze na dullvani, haraka sana dogo yule kachakatwa rindaa
kabisa, yule dstv-kitimtim. Ninaamini wote wanaovaa miguo ya kike ni mashoga. Tuna wadada na wamama wengi wa kuigiza hizo scens za kike, kuna haja gani mwanaume aigize mwanamke na avae kike na ajipodoe kama mwanamke ikiwa si shoga?Tukianza na Joti, na yale majamaa ya kwenye zekomed za Masanja, aje yule dogo anafaa dera anaigiza Juakali/not so sure ila tamthilia kule DSTV, wanaume wanavaa manguo ya kike na kuigiza kama wanawake, wapigwe marufuku kwasababu kidogo kidogo wanafanya jamii ione muonekano wa aina hiyo kwa mwanaume ni kitu cha kawaida.
Kiufupi, hawa ndio wanaoeneza ushoga bila wao kujijua na kufanya jamii izoee taswira za kishogashoga. Pumbafu kabisa.
Nakumbuka enzi nasoma niligoma kuigiza kama msichana kwenye mchezo. Kikundi chetu cha kuigiza hatukua na mwanamke.Tukianza na Joti, na yale majamaa ya kwenye zekomed za Masanja, aje yule dogo anafaa dera anaigiza Juakali/not so sure ila tamthilia kule DSTV, wanaume wanavaa manguo ya kike na kuigiza kama wanawake, wapigwe marufuku kwasababu kidogo kidogo wanafanya jamii ione muonekano wa aina hiyo kwa mwanaume ni kitu cha kawaida.
Kiufupi, hawa ndio wanaoeneza ushoga bila wao kujijua na kufanya jamii izoee taswira za kishogashoga. Pumbafu kabisa.
Alafu joti ni mjanja akivaa bado Kuna vitu hufanya unajua kabisa uyu anaigiza tu na mwenyewe uwanaume wake anataka pia uonekane, kama vile kuacha mipengo yake,kushindilia nguo zinakua upande upande, kuweka make kihasara hasara Yani unajua kabisa uyu mwanaume,ila dulvani dah ,hasara tupu, katoto kanajilainisha,na muonekano wa kike mazimaNenda straight kwamba baadhi ya waigizaji waache kuwa mapapai ,joti anaigiza kikike lakini nje ya sanaa ni shababi ila kina dullvan ni mapapai nje ya sanaa.
Kwani we unaumia nini??kabisa, yule dstv-kitimtim. Ninaamini wote wanaovaa miguo ya kike ni mashoga. Tuna wadada na wamama wengi wa kuigiza hizo scens za kike, kuna haja gani mwanaume aigize mwanamke na avae kike na ajipodoe kama mwanamke ikiwa si shoga?
imekuwaje unasoma uzi unaopinga ushoga kisha unauliza swali la kijinga namna hii?Kwani we unaumia nini??
NI ushetani wa kiwango cha kuzimuIvi unajisikiaje kumpumulia mwanaume mwezako kisogon🙄😥
Mambo kama haya hapa si ni kampeni tosha ya kupigia chapuo ushoga!!
Kijana wa Kiume Dulla a.k.a Dada Zuu anavaa madera, anavaa mawigi, anajipodoa, anapoz kama mwanamke na anataja mwanaume mwenzie kuwa mume wake!!!
DSTV wametoa wapi kibali cha kurusha huu ufirauni kama siyo kwa hao BASATA?!!
Yule mtoto atakuwa choko halisi.Waanze na dullvani, haraka sana