Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waanze na dullvani ,haraka sana dogo yule kachakatwa rindaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nilikua nawaza hilo hilo khaaaWaanze na dullvani ,haraka sana dogo yule kachakatwa rindaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tusifuate upepeo si ndio hivo mkuu?Tatizo la wabongo bnana yaani ni watu wepesi wa kudakia mambo!!halafu si muda mrefu utasikia ziiiiii!!hatueleweki hata tunataka nini,yaani baada...
Ni ajabu yaani leo wananchi badala ya kuandamana juu ya hali ngumu ya maisha (mfumuko huu wa bei)watu wanashindia mlo mmoja!Tusifuate upepeo si ndio hivo mkuu?
Ni kweli huvuti bangi ila unatumia ndumuHapana sivuti bhange kabisa
Ndumu bange bangi kush cha arusha kisheri kipinchi kijiti pantera yote hayo ni majina ya ule mmea ukiwa tayari kuvutwa ila sijafanikiwa kuvuta hicho kituNi kweli huvuti bangi ila unatumia ndumu
Tumelea upuuzi sasa unatugharimu ... Tulichagua kuwekeza zaidi kwenye siasa na kusahau taaluma na weledi.. Tuliwekeza zaidi kuhakikisha chama chawala kinabakia madarakani matokeo yake ndio haya sasa!Tukianza na Joti, na yale majamaa ya kwenye zekomed za Masanja, aje yule dogo anafaa dera anaigiza Juakali/not so sure ila tamthilia kule DSTV, wanaume wanavaa manguo ya kike na kuigiza kama wanawake...