Ushauri: Waigizaji wa kiume wanaoigiza kama wanawake wapigwe marufuku

kabisa, yule dstv-kitimtim. Ninaamini wote wanaovaa miguo ya kike ni mashoga. Tuna wadada na wamama wengi wa kuigiza hizo scens za kike, kuna haja gani mwanaume aigize mwanamke na avae kike na ajipodoe kama mwanamke ikiwa si shoga?
 
Nakumbuka enzi nasoma niligoma kuigiza kama msichana kwenye mchezo. Kikundi chetu cha kuigiza hatukua na mwanamke.
 
Nenda straight kwamba baadhi ya waigizaji waache kuwa mapapai ,joti anaigiza kikike lakini nje ya sanaa ni shababi ila kina dullvan ni mapapai nje ya sanaa.
 
Nenda straight kwamba baadhi ya waigizaji waache kuwa mapapai ,joti anaigiza kikike lakini nje ya sanaa ni shababi ila kina dullvan ni mapapai nje ya sanaa.
Alafu joti ni mjanja akivaa bado Kuna vitu hufanya unajua kabisa uyu anaigiza tu na mwenyewe uwanaume wake anataka pia uonekane, kama vile kuacha mipengo yake,kushindilia nguo zinakua upande upande, kuweka make kihasara hasara Yani unajua kabisa uyu mwanaume,ila dulvani dah ,hasara tupu, katoto kanajilainisha,na muonekano wa kike mazima
 
kabisa, yule dstv-kitimtim. Ninaamini wote wanaovaa miguo ya kike ni mashoga. Tuna wadada na wamama wengi wa kuigiza hizo scens za kike, kuna haja gani mwanaume aigize mwanamke na avae kike na ajipodoe kama mwanamke ikiwa si shoga?
Kwani we unaumia nini??
 
Kiukweli mwanaume kujifanya mwanamke inakera Sana , hata kama ni kuigiza sjui kujipatia riziki huo ni upumbavu wa Hali ya juu yaan watu wa namna hyo wauawe tuu....
 
Tuanze na IDs za wanaume wanaotumia nickname za kike...humu JF
 
Huu ujumbe uwafikie BASATA....BASATAA..
Kama Rais anapita humu nyie ni kina nani msipite humu..tuondoleeni huo upuuzi
 
Nashukuru Sasa angalau watanzania tunaanza kuelewa thamani ya utu na ujinsia. Kuna kundi la Wana Uhai(Pro-Life) wanakemea Sana uovu wa namna hii.... Wanaendesha vipindi vyao kupitia redio Tumaini Kila jumapili saa 9:15 Hadi 10:00 jioni na redio Maria siku ya jumanne sa 8:00 Hadi 9:00. Ukipata muda fuatili hakika tutajifunza mengi. Kwa pamoja tuungane kupiga Vita ushoga. wanaume tunadhalilika Sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…