Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 631
- 1,409
Kabisa, bila hvyo akubali imekula kwake tu.Hili la maana sana ajifanye kmaa kasahau hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, bila hvyo akubali imekula kwake tu.Hili la maana sana ajifanye kmaa kasahau hivi
Sawa mkuuHii ni ngumu kidogo, ila mkaushie kwa muda hivi then baadae mtafute kwa namba nyingine (isiwe yako) kama unataka simu.
Chukua wana nendeni mkamtaitishe sehemu kiume zaidi ili kupooza machungu, lakini kwa haki huwezi pata msaada.
Kuna watu wa kuwasamehe ila sio hao weziKwa vyombo vya Sheria kiukweli utapoteza muda,tu ningekuwa na roho mbaya ningekushauri ukawaminye mbupu Kwa mganga[emoji84],ila kwakuwa imeandikwa samehe 70x7,basi tena ila umeibiwa kiboya sana mkuu.