Ushauri wako tafadhali: ni lazima amwage haja kubwa kipindi anafika kileleni

Ushauri wako tafadhali: ni lazima amwage haja kubwa kipindi anafika kileleni

Pole Mkuu
Kama unampenda kwa dhati usimuache Mzee Ataumia Sana Huy....Mpaka hapo keshaumia Sana kwa kukimbiwa kisa hali yake hiyo
Shirikiana nae kutatua hilo swala it's possible
 
Kuna mtu alishaleta case kama hiyo humu JF ila alikua mwanaume kwamba akifika mshindo tu na haja kubwa ishapiga hodi.
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] naona puto lime toboka kaziba lakini ndo ivyo tena lisha legea .
naijatwittersavages-20190710-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpe Pole sana huyo mrembo wako.
Mpeleke hospital.

Muulize kama alishawahi kuliwa ile kitu kidogo. Ila muulize kimahaba na Upole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye uzi..

Sitaki kukimbilia kusema analiwa tigo, pengine sio kwel. Huyo mdada huwezi tena kulana nae kimasihara. Zile za kapita mbele yako umemvuta umechapa mkwaju. Haiwezekani. Jaribuni approach tofaut kdogo.

Inabidi zoezi liwe linafanyiwa maandalizi ya kutosha. Awe anaenda kujisaidia haswaaa kabla ya tendo. Shauri hili katika hali ambayo haitakuwa ya aibu kwake au kumuwekea msongo kichwani.

Kama ikifeli hyo, kuna neema zilizofichikana kwenye hili.

Umepata mtu ambae ukimkojoza unajua kweli kwa kila njia, kwanzia harufu mpaka ushahidi physical/mzito. Sio wale wanakufanyia maigizo ya kukukwaruza kwaruza na n.k

Hao wengi waliokimbia hawajamsaidia kujua kiini cha tatizo ili kisijirudie tena. Experiment/sex nae sana mjue pengine kuna mkao akikaa hayatoki kwasababu inakua ngumu tumbo ku-upload data kitandani. Kama unampenda, ukiweza kushirikiana nae kupata tiba ya hili, utaenjoy sana maisha mr.


Sema za kuambiwa changanya na zako.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi unanuka mavi huu

Sent from my Infinix X606B using Tapatalk

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩kmamak


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Honestly nimeishia kucheka tu..pole sana na kazi mkuu.Maana mko guaranteed kufua vifurushi kila baada ya game!!?
 
Back
Top Bottom