Ushauri wangu kuhusu Mtanzania aliyetekwa Nigeria

Ushauri wangu kuhusu Mtanzania aliyetekwa Nigeria

Hawatakiwi kwenda kijeshi, wanatakiwa kwenda Kijasusi kwenye hiyo mission!!
Hata kijasusi wakigindulika ni kosa hairuhusiwi huwezi ukaenda kufanya michezo km hio kwenye Nchi ya watu ukisababisha maafa makubwa kwa ajili ya watu wawili je
 
Mmh sdhani kama operation za kijeshi za nchi nyingine zinaruhusiwa kwenye nchi nyingine
Acha upumbavu mkuu,hapo juu umepewa mfano wa operation, na few years ago president kagame alituma commandos wake pale sandton, joberg na wakafanikiwa kufanya operation yao na kuondoka bila kuwa detected, hivyo hivyo na pale maputo Mozambique
 
Acha upumbavu mkuu,hapo juu umepewa mfano wa operation, na few years ago president kagame alituma commandos wake pale sandton, joberg na wakafanikiwa kufanya operation yao na kuondoka bila kuwa detected, hivyo hivyo na pale maputo Mozambique
Neno "upumbavu" mara nyingine li-edit lisomeke "usahaulifu" mkuu.
 
Wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

Nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. Kwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

Sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

Mossad, CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. Mossad walipiga tukio kubwa sana pale Uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: Mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

Ni ushauri tu.

Hapa kinacho takiwa sio mabomu bali kikomboleo makaratasi ya kimarekani yenye thamani ndio yanayo takiwa
 
Hapa kinacho takiwa sio mabomu bali kikomboleo makaratasi ya kimarekani yenye thamani ndio yanayo takiwa
shida ni kwamba wakigundua sisi ni wepesi wa kufata masharti yao ya kutoa pesa, watochonga mzinga. utashangaa kila baada ya muda fulani, mtanzania anatekwa.
 
Acha upumbavu mkuu,hapo juu umepewa mfano wa operation, na few years ago president kagame alituma commandos wake pale sandton, joberg na wakafanikiwa kufanya operation yao na kuondoka bila kuwa detected, hivyo hivyo na pale maputo Mozambique
Koma mpumbavu unamjua ww? nmetoa mawazo yangu kwa uelewa wangu naomba heshima ichukue mkondo wake
 
Rescue mission hazihitaji silaha nzitonzito za kuzisafirisha kwa madege ya vita au malori. silaha kubwa ni uwezo wa kukusanya taarifa.

Nani waliomteka,agenda yao ni nini(siasa, dini,fedha),uwezo wao upoje,location ya hostage na kadhalika.
Sasa hapo kwenye kukusanya taarifa ukagundua uwezo wao ni silaha nzito si itabidi na wewe uende na silaha nzito zaidi au?
 
Kwa silaha gani walizonazo za SOF (Special Operations Force) kwa rescue mission ya thousands of kilometres from homeland. Waende uko kwenye unfamiliar terrain bila kuwa na reconn, intelligence wala uelewa na eneo si hao wenyewe utawapoteza.
Usilolijua ni usiku wa Giza mdogo wangu
 
Wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

Nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. Kwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

Sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

Mossad, CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. Mossad walipiga tukio kubwa sana pale Uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: Mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

Ni ushauri tu.

Unafikiri hii ni movie
 
KUNA WATU HIMU PANYAROAD WAKIKOHOA TU MTAANI KWAO WANALAUMU POLISI ILA WAKWANZA KUBEZA MAJESHI YETU.
MGAMBO TU WANAFANYA KAZI KUBWA SEMBUSE WAKUBWA WAO.
SEKTA YA ULINZI WAKIAMUA KUACHA KUFANYA KAZI MWEZI TU, HALOO TUTATAFUTANA.
HIVI KWA NIJI MNAONA WENZENU HAWAFANYI KAZI? MBONA KAZI ZENU ZILIZOTUKUKA HATUZIONI?
 
Wewe unaijua nigeria

Unajua kuwa boko haram nyuma ya pazia inafadhiliwa na wanasiasa waislam wa nigeria miongoni mwao ni rais wa sasa wa nigeria
 
Back
Top Bottom