Ushauri wangu kuhusu Mtanzania aliyetekwa Nigeria

Ushauri wangu kuhusu Mtanzania aliyetekwa Nigeria

Tungekuwa na Rais hii nchi hakika angetuma hata keshi la.watu laki kumsaka mbongo mmoja huko nigeria
 
Huwezi fanya rescue mission bila nyanja za usafirishaji.
Magaidi wameweka deadline ya siku tano mtume hela kwa mfano. Utawakatia tiketi hicho kikosi labda watu 7, wakifika Nigeria wapande ndege nyingine kwenda huo mji, wakishuka airport watapanda daladala mpaka eneo la tukio?
Na hutotegemea kuwaomba jeshi la Nigeria wakusaidie. Unachowaomba wao ni ruhusa ya kufanya shughuli zako kwenye territory yao, inawezekana isiwe interest yao kuokoa watu wako au uwezo hawana. Miaka michache iliyopita walitekwa Chibok girls zaidi ya 200 jeshi lao likashindwa wakomboa zaidi ya mwaka sembuse mbongo mmoja.

Hapo unatakiwa uwe na utility helicopter ya kubeba SOF wakiwa kule Nigeria au uwe na military transport aircraft medium ambayo inaweza hata kuwabeba kutoka Tanzania, washushwe na kufanya mission kwa accuracy kubwa na haraka. Waokoe mateka na kubebwa na hiyo helikopta inayokuwa inafanya hovering around, kama ilikuwa ni fixed wing basi kuna van ilishawekwa karibu iwabebe mpaka nearby airstrip.

Kabla ya hapo ndio umefanya yote hayo uliyotaja. Intelligence kujua mateka wako wapi na waliowateka wana silaha gani, position na intention yao. Na hizo taarifa unazipataje bila zana za kisasa za kuingilia mawasiliano ya simu, kufanya tracking ya radio frequencies, transactions labda, n.k na unabebaje hayo maboksi ya vifaa kuingia nayo Nigeria which is against their laws. Hapo ndipo nchi nyingine wanamaliza kwa kwenda na ndege, ina kila kitu humo.
Taarifa pekee hazitokusaidia kama huna training nzuri ya special forces, huna zana za kisasa hizo hizo unazosema ni ndogo na wajue kuzitumia vizuri na wazizoee.
Labda kila mmoja atakuwa na optics, NV goggles, laser rangefinder, silencer, bulletproof vest, radio na vingine.

Huwa inaleta fedheha kujifanya mmeenda kuokoa na mateka wakauwawa. Watu wanafanya hesabu kali wakiona hawawezi mnalipa tu hiyo hela ila mnafanya ujasusi msilipe mara mbili mbili au muwakamate wahusika baada ya kuwalipa hapo hamna cha kupoteza wala tahadhari kubwa hata mkiwapiga na silaha nzito K11
Tz hatuna huo muda wa kupoteza wala hizo gharama hatutaki! Worst enough As long as ishu yenyewe haihusu kuibakisha sisiem madarakani
 
Wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

Nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. Kwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

Sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

Mossad, CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. Mossad walipiga tukio kubwa sana pale Uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: Mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

Ni ushauri tu.

Huwatakii mema hao makomandoo. Yale matofali wanayoyasambaratisha pale uwanja wa taifa siyo matofali hasa. Yana ratio ya 1 cement na 100 mchanga.
 
Usidanganyike ni ile mitofali ya kichwa na ile mibegi mikubwa mgongoni.

Wale ni sawa na wacheza video game michezo ya kupigana. Unaweza ukajikuta master ila mchezo wa kweli unatembezewa kichapo kama mtoto.

Kuna komando alichezea kichapo banana kama mwari toka kwa muendesha bodaboda baada ya kuleta ubabe wa kiboya.

Wakipelekwa huko waandae na pesa za kuwakombolea maana nao watawekwa mateka.
Watawekwa mtu kati? [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

Nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. Kwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

Sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

Mossad, CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. Mossad walipiga tukio kubwa sana pale Uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: Mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

Ni ushauri tu.

Boko Haram imelishinda jeshi LA Nigeria, Nchi za Mali, burkinafaso, Niger zote zinasumbuliwa na islamic terrorism, majeshi hayana mbinu za kupambana na hv vikundi,
Magaidi hawapigani conventionaly,ni Vita ya kuviziana, ili uwashinde, inabidi na wewe uende kama gaidi, utumie mbinu za kimya kimya, covertly kama ilivyofanyika kibiti,
Kuwapereka hawa jwtz, watachinjwa wote, kwanza hawajuhi lugha ya wenyeji, hivyo vikundi vina ma informer wao kwenye vijiji,
Mfano, Israel huwa ina uwezo, wa kuua wapigananji wa Palestine kwa vile ina uwezo wa kupandikiza watu ndani ya hivyo vikundi, na MJ Israel na mwarabu wanafanana sana, jamaa wanaweza kutuma ma spy ndani kabisa ya Palestine, Ila kuvishinda HIV vikundi, unahitaji intelijensia ya ndani sana, usikilize mawasiliano Yao, ujue viongozi wao, wapi wanapata siraha, sio kwenda, kichwa, kichwa,
Ingekuwa Bora tukaomba msaada, wa, Israel, au misri,
Juzi, niliona vijana wa jkt, kwenye mahafari Yao, wanaonyesha jinsi ya ku assemble AK47 kwa, sekunde 10!! Nikasema whaaat, bado tupo nyuma sana, Kule Palestine, au, kwa, wakarenjin Kenya, hizo, Ak47 zinachezewa, na watoto wadogo wa miaka 7! W anajua kuzitumia bila hata kwenda jeshi ni, mtu ye yote anaweza, kijifunza kwenye mtandao,
Huwa najiuliza hawa wakwetu wanapotuonyesha jinsi walivyobeba mavitu mengi kama punda,huwa ni maonyesho ya ubaunsa! Maana vitani huwezi, kupigana umebeba mamizigo mengi kiasi hicho, unakuta mtu amebeba na gloves za boxing, sasa u najiuliza kwamba, akipigana na, adui risasi Zika Isha, anavaa gloves ili apigane ngumi na adui! ? Sasa lengo huwa ni kuonyesha weredi wa special elite forces, sasa kubeba mamizigo mengi, huwa wanapima u punda au ni ni!?
 
Kwanini kanisa lisitoe hizo pesa huyu ndugu aachiwe?, angekuwa mtumishi mzungu wasingekaa kimya.
Wakulaumiwa ni hao,waliompeleka huyo mwanafunzi,-huko kwenye hatari.Ni sawa hivi sasa kumpeleka mwanafunzi,akasome Urusi,Ukraine,Sudan,Kongo.
 
Tz hatuna huo muda wa kupoteza wala hizo gharama hatutaki! Worst enough As long as ishu yenyewe haihusu kuibakisha sisiem madarakani
Wakulaumiwa ni hao,waliompeleka huyo mwanafunzi huko kwenye hatari.Ni sawa sasa kumpeleka mwanafunzi Urusi,Ukraine,Sudan,Kongo,halafu uje uwalaumu watu wengine.Alipopelekwa kusoma,waliwashirikisha hao wanaolaumiwa?
 
Boko Haram imelishinda jeshi LA Nigeria, Nchi za Mali, burkinafaso, Niger zote zinasumbuliwa na islamic terrorism, majeshi hayana mbinu za kupambana na hv vikundi,
Magaidi hawapigani conventionaly,ni Vita ya kuviziana, ili uwashinde, inabidi na wewe uende kama gaidi, utumie mbinu za kimya kimya, covertly kama ilivyofanyika kibiti,
Kuwapereka hawa jwtz, watachinjwa wote, kwanza hawajuhi lugha ya wenyeji, hivyo vikundi vina ma informer wao kwenye vijiji,
Mfano, Israel huwa ina uwezo, wa kuua wapigananji wa Palestine kwa vile ina uwezo wa kupandikiza watu ndani ya hivyo vikundi, na MJ Israel na mwarabu wanafanana sana, jamaa wanaweza kutuma ma spy ndani kabisa ya Palestine, Ila kuvishinda HIV vikundi, unahitaji intelijensia ya ndani sana, usikilize mawasiliano Yao, ujue viongozi wao, wapi wanapata siraha, sio kwenda, kichwa, kichwa,
Ingekuwa Bora tukaomba msaada, wa, Israel, au misri,
Juzi, niliona vijana wa jkt, kwenye mahafari Yao, wanaonyesha jinsi ya ku assemble AK47 kwa, sekunde 10!! Nikasema whaaat, bado tupo nyuma sana, Kule Palestine, au, kwa, wakarenjin Kenya, hizo, Ak47 zinachezewa, na watoto wadogo wa miaka 7! W anajua kuzitumia bila hata kwenda jeshi ni, mtu ye yote anaweza, kijifunza kwenye mtandao,
Huwa najiuliza hawa wakwetu wanapotuonyesha jinsi walivyobeba mavitu mengi kama punda,huwa ni maonyesho ya ubaunsa! Maana vitani huwezi, kupigana umebeba mamizigo mengi kiasi hicho, unakuta mtu amebeba na gloves za boxing, sasa u najiuliza kwamba, akipigana na, adui risasi Zika Isha, anavaa gloves ili apigane ngumi na adui! ? Sasa lengo huwa ni kuonyesha weredi wa special elite forces, sasa kubeba mamizigo mengi, huwa wanapima u punda au ni ni!?
Huyu katekwa na watu wa karibu yake.Mtu asiyekujua undani wako,watoka wapi,una uwezo kiasi gani kipesa,au walionyuma yako wanauwezo gani kipesa.Kanisa lijichunguze wenyewe.Wahusika wapo humo humo kanisani.Wanasubiri zilipwe hizo pesa tu.
 
Movie zinawadanganya sana, mnadhani hayo mambo yanafanyagwa tu.
 
Wale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.

Nashauri wakuu ndani ya JWTZ wafanye selection, wachague vijana sita au saba 7 ambao ni the best of the bes ndani ya jeshi, wakibidhiwe jukumu la kwenda kumuokoa mtanzania mwenzetu. Kwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.

Sio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.

Mossad, CIA na MI6 washapiga sana michongo kama hii. rejea the entebe rescue operation july 4,1976. Mossad walipiga tukio kubwa sana pale Uganda ambalo limebaki kama 'desa' kwenye ulimwengu wa medani.

NB: Mission za namna hii hazihitaji wavulana, kwa maana hiyo jamaa zangu wavaa kaunda suti pale makumbusho kwa kushirikiana na jeshi la polisi nyinyi endeleeni tu ku-neutralise threat ndogondogo zinazotishia usalama wa ndani ya nchi sambamba na kuhakikisha 'chama' kinaendelea kusalia madarakani.

Ni ushauri tu.

Huyu katekwa na watu wa karibu yake.Asiyekujua hawezi kukuteka.Hawa watekaji wanajua huyu,wapo nyuma yake wenye uwezo wa kiasi gani.Kanisa lijichunguze wenyewe.Mara nyingi muhalifu,anayekufanyia uhalifu ni mtu anayekufahamu vizuri.
 
Back
Top Bottom