Ushauri wangu kwa CHADEMA na mbunge wao mmoja wa jimbo (Aida Khenan - Nkasi - Rukwa) na wale wa viti maalumu + madiwani

Ushauri wangu kwa CHADEMA na mbunge wao mmoja wa jimbo (Aida Khenan - Nkasi - Rukwa) na wale wa viti maalumu + madiwani

Mnatakiwa kupeleka majina 22 ya wabunge wa viti maalum.

Sasa ni kusuka au kunyoa.
Hivi nyinyi ccm Ni wazima kweli ? Nyinyi si ndio mlikuwa mnajiapiza kuua upinzani na mkafanya hivyo kwenye uchaguzi .Mkaua watu , mkajeruhi , mkatesa , mnawafunga bambika kesi wapinzani , Leo mmekwama kwenye masharti ya wafadhili mmeanza kuwafuata walewale mliwazuia wasiingie bungeni ? Nyinyi sio wazima Ni wehu kabisaaa kasoro kuvua nguo .
 
Ila pia si Ndugai anaweza kukubaliana na maamuzi chama chao? Picha itakuwaje?
 
Mkuuu TOFAUTISHA KATI YA USHAURI NANMAONI BINAFSI.

Ulichokiandika ni maoni yako binasi na si ushauri, WEWE SIO MSHAURI WA CHADEMA.

MJIFUNZE KISWAHILI KWANZA.
 
Back
Top Bottom