Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Kweli mkubwa jamaa ashaanza kupotea,aanze kuwekeza sasa asiwekeze kwenye papuchi maana zinammalizia hela sana!!
Ni kweli,
Masanja Mkandamizaji kwa kugundua mashabiki watamchoka mapema alipokua juu,akajiingiza kwenye biashara, sasa haigizi tena na ana mpunga mrefu tu!!