Weka jina la hiyo account yake ya instagram hapa nikasome mwenyewe?Mimi nimeitoa kwenye page yake ya Insta!amekiri na amesema yuko responsible kama umesoma!itakua unasoma page ya blog yake labda
Sifanyi huo ujinga wa kumpa traffic kumbe unabisha wakati haujui hata hiyo account unasumbua SerikaliWeka jina la hiyo account yake ya instagram hapa nikasome mwenyewe?
Kama wewe unajua kusoma naUnajua kusoma lakini huelewi usomacho.
Ninajua accounts zake na nimeshaangalia. Kamautaki kumwongezea supporters usingemjadili hapa!!Sifanyi huo ujinga wa kumpa traffic kumbe unabisha wakati haujui hata hiyo account unasumbua Serikali
Natoa ushauri wangu wa bure kwa Lemutuz aache kabisa kutoka na watoto maana leo kadhalilishwa mpaka tumeona tusivyotakiwa kuona.
Please oa kabisa, sidhani kama angekua mkeo angefanya kitendo hicho. Laana ya zinaa ndo hiyo unabaki kudhalilishwa na wajukuu halafu ndo wamemrushia hasimu wako kipele kikapata mkunaji.
We nawe hata siyo fundi, sababu nawe unamaliza na mwanamke ana nguvu ya kuamka!!!!! Mi nilidhani hata nguvu anakuwa hana na inabidi alale kidogo ili kupata nguvuhusiseme biti tu wanaume tu mengi huwezi jua labda anatumia dawa ya kuspry kabla ya kuanza mchezo inayokuza uume hadi nchi 7. ila uzoefu wangu unanionyesha kila nikitoka kupiga mzingo lazima mwanamke awahi kuvaa na kuaga nisije ongeza round hii hadi anakuwa na nguvu ya kurecord basi inaonyesha alipapaswa tu
Acha ubishi basi wa kitoto...huamini basi sio lazima kuaminiNimepitia pegi zake za instagram lakini hakuna sehemu yoyote amekubali ni yeye!
Una kaupuzi fulani hivi unaboaWeka jina la hiyo account yake ya instagram hapa nikasome mwenyewe?
[emoji23][emoji23][emoji23]fundi na fundikila wanapokutanaWe nawe hata siyo fundi, sababu nawe unamaliza na mwanamke ana nguvu ya kuamka!!!!! Mi nilidhani hata nguvu anakuwa hana na inabidi alale kidogo ili kupata nguvu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unajitia fundi kumbe hata standards huzifahamu.
Lemutuz anavyomtukanaga marehem baba yake mange ni sawa ? Na mange hajawahi tukana wazaz wake kabisa na alisema anawaheshimu mno hatokaa athubutu ,,,sasa fimbo hiii ya lemutu acha imchape vyema yeye mwenyew mana n kosa mno kuchukuliwa video na hata usijue ni nani ktk wanawake zako kakuchukua kwa maana nyingine huy baba ni malaya anawatumia mabint wa watu hovyo kisa umaaarufu wakeOn the other side,huyu mzee akijiua leo kisa aibu hii,lawama ni ya nani?
Mi sijui.
Ila tujifunze kuwa kumuaibisha mtu kisa umbile asiloweza kubadilisha sio vizuri.Hamna mtu anapenda.
Ila ndo hivyo the world isn't fair.Siasa ndo zilivyo,watu wanauwana na kuaibishana daily.Labda ndo the cost of power.
Majibaba kibao huko Ni malaya ila hawajachukuliwa video akachukuliwa jamaa.Ndo hivyo yani the world isn't fair.Na huwezi kuwa na vyote.Especially when you are stupid.
Kwa hiyo tujifunze.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] tulipewa taarifa kabisa kuwa ifikapo 00:30 sharp atabonyeza kitufye cha bomu la nyuklia... Gambo naye akakesha aone...
Wewe unaehukumu wenzako utapata adhabu ya namna gani!?Hakuna jambo baya kama kuanika aibu ya mwenzako. Utapa aibu zaidi yake kabla ya kifo
Sijahukumu mtu, nimetoa tanbihi ya athari ya kumuaibisha mwenzkoWewe unaehukumu wenzako utapata adhabu ya namna gani!?