Ushauri wangu kwa Uongozi wa Klabu yangu pendwa ya Simba SC

Ushauri wangu kwa Uongozi wa Klabu yangu pendwa ya Simba SC

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Awali ya yote niwape salamu mbiu Tabuleleeee (itikia Laaaaaa).


Hii ni baada ya matokeo ya jana tarehe 5-11-2023, 1-5. Mashabiki wenzangu wa Simba naomba tuwe wavumilivu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.

Hili ni pito ambalo hata Yanga alipitia kwa miaka mi4 mfululizo. Turudi kwenye matawi yetu tujue nini cha kufanya kwa msimu mpya wa 2024-2025.

Rai yangu kwa uongozi wetu wa klabu; nitakao wataja hapa ni wazee, sasa tupambane kutafuta damu changa;

Shomi, Shaba, Bocco, Mzami, Ntibazo, Chaba, NA Miqu.

Punguzeni hao jamaa, hata kama sio wote basi hata nusu ya hao tajwa hapo juu na pia kama tunataka kwenda kufanya vyema kwenye michezo yetu ya CAF Champions League basi hatuna budi kuachana na Betino haraka iwezekanavyo ili aje Kocha mpya kutengeneza combination na na wachezaji wetu. Niishie hapa.

Tabuleleeeeee..!
 
Cha msingi ni kujipanga game lijalo.
Mjipange kufungwa tena muanze kulia tena au sio? Kipigo kipo pale pale mpaka muache kuongeongea ovyo, mmepigwa 5-1 mnasema ooh tuliwafunga 5-0 ngoja rematch naomba Yanga wapige goli nyingi zifike hata 10 yaan nitapasuka kwa furaha
 
Mjipange kufungwa tena muanze kulia tena au sio? Kipigo kipo pale pale mpaka muache kuongeongea ovyo, mmepigwa 5-1 mnasema ooh tuliwafunga 5-0 ngoja rematch naomba Yanga wapige goli nyingi zifike hata 10 yaan nitapasuka kwa furaha
Kufungwa game moja ni sometimes bahati inachangia, mbona jana Tottenham kala 4 toka kwa vibonde Chelsea tena nyumbani kwake, hapo napo unasemaje?
 
Kufungwa game moja ni sometimes bahati inachangia, mbona jana Tottenham kala 4 toka kwa vibonde Chelsea tena nyumbani kwake, hapo napo unasemaje?
Mimi furaha yangu mkandwe tena midomodomo mmezidi sana, mkikandwa tena hamtoongea tena
 
Ww mbaba...hujaenda shambani?
Kilaza fc...wewe
4b57f1c9b2b7ec4b054ad2348eb3555e.jpg
 
Awali ya yote niwape salamu mbiu Tabuleleeee (itikia Laaaaaa).


Hii ni baada ya matokeo ya jana tarehe 5-11-2023, 1-5. Mashabiki wenzangu wa Simba naomba tuwe wavumilivu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.

Hili ni pito ambalo hata Yanga alipitia kwa miaka mi4 mfululizo. Turudi kwenye matawi yetu tujue nini cha kufanya kwa msimu mpya wa 2024-2025.

Rai yangu kwa uongozi wetu wa klabu; nitakao wataja hapa ni wazee, sasa tupambane kutafuta damu changa;

Shomi, Shaba, Bocco, Mzami, Ntibazo, Chaba, NA Miqu.

Punguzeni hao jamaa, hata kama sio wote basi hata nusu ya hao tajwa hapo juu na pia kama tunataka kwenda kufanya vyema kwenye michezo yetu ya CAF Champions League basi hatuna budi kuachana na Betino haraka iwezekanavyo ili aje Kocha mpya kutengeneza combination na na wachezaji wetu. Niishie hapa.

Tabuleleeeeee..!
Mgunda atosha
 
Nyani??
Kalpana unaonekana ni msichana mfupi na una gumbu sn.
Hahahah nimecheka sana 🤣 🤣 🤣 🤣 ..waulize watu wa selfika wakwambie nipoje...kumbe wafupi ndo wana gubu eee..basi hata warefu tunalo...
Yani humu comment zangu ambao hamzipendi zinawakera mpka mnanichora kwny fikra zenu...
 
Hahahah nimecheka sana 🤣 🤣 🤣 🤣 ..waulize watu wa selfika wakwambie nipoje...kumbe wafupi ndo wana gubu eee..basi hata warefu tunalo...
Yani humu comment zangu ambao hamzipendi zinawakera mpka mnanichora kwny fikra zenu...
Robertinho out, bado mashabiki na wewe ukiwemo
 
Bundi ametua kwetu msimbazi...
Hii yote ni uchawi wa utopolo...
 
Back
Top Bottom