Ushauri wangu kwa Wakuu wapya wa Wilaya

Na kujipendekeza kote kule huchaguliwi hata ukatibu kata, shame on you
 
Wandugu aliyependa ushauri wa mwenzetu pia,sio vibaya kumtumia hata pesa ya Pongezi...M-Pesa ihusike basi ..
 
Na kujipendekeza kote kule huchaguliwi hata ukatibu kata, shame on you
Kilimo ndio ajira yangu na ni heshima kwangu kwa kuwa ninashiriki katika kulinda usalama wa Taifa letu kwa kuhakikisha kuwa chakula kinakuwepo cha kutosha hapa nchini,maana huwezi ukamuongoza wala kusikilizwa na mtu mweye njaa ya chakula na Wala hakuwezi kukawa na utulivu nchini ikiwa watu wananjaa
 
Unalimia mtandaoni
 
Najua hujapenda kuandika ujumbe huu bali ni hasira za kutoswa
Niwe na hasira ya Nini ndugu yangu,kwani Kuna siku nimeandika hapa kuwa Nina subiri uteuzi,Mimi huwa Nina andika hapa kwa hiyari yangu na uzalendo wangu na kutokana na namna ninavyoridhishwa na utendaji kazi madhubuti na wakutukuka wa serikali ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania
 
Mwashambwa pole ndugu yetu kwa kukosa teuzi kwa mara ya kumi, chama lenu uchawa peke yake hautakutoa, muhimu ni connections kama huna utaendelea kuchakaza soli za viatu
 
Mwashambwa pole ndugu yetu kwa kukosa teuzi kwa mara ya kumi, chama lenu uchawa peke yake hautakutoa, muhimu ni connections kama huna utaendelea kuchakaza soli za viatu
Mimi naandika hapa jukwaani kwa hiyari na uzalendo kwa Taifa langu na kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia kwa kazi nzuri na yakutukuka anayoifanya katika kuwatumikia watanzania
 
Acha kujisumbua ndg [emoji23][emoji23] mama sio Magu zile zama za ukisifia sifia unateuliwa zimepita ingekuwa ukisifia unateuliwa basi Steve Nyetere ambaye ni chawa no 1 wa mama angeshateuliwa
So acha kusumbua akili yako kama unamsifia mama sifia kawaida sio mpk uandike no ya sm [emoji23][emoji23]
Unaandika no ya sm ya nn?[emoji23][emoji23] unadhan mama ni Magu kuwa atakukumbuka?[emoji23][emoji23] utakufa maskin na nakala zako
Andika nakala sifia then kimya sio unaandika andika no za sm kujipendekeza [emoji23][emoji23][emoji23] hiloooooooooo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninayoyaandika hapa siyo barua za maombi ya uteuzi Bali Ni maoni yangu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…