Ushauri wangu kwa wana ndoa wenzangu

Ushauri wangu kwa wana ndoa wenzangu

Kwanza mm sio muumini wa watu kupeana taraka.pili ndoa sio Jambo la kukurupuka tu ndugu zangu.nitaanza kuwapA ushauri wanaume;
*Jamani tupende kupunguza na kudhibiti asila zetu tambueni pia kua wanawake nao wameumbiwa asila.unapochukua maamuzi magumu fikilia mala mbili michepuko sio mchongo,nije kwenu wanawake
* Tambueni mamlaka ya waume zenu,mume ni kiongozi jibizana nae kwa heshima na adabu,hakuna haki sawa kwenye ndoa.kipato isiwe sababu ya kumdhalau mwenzio,michepuko sio mchongo.

Sina mengi natumai wahusikamenielewa
Ushauri mzuri sana
 
Kwanza mm sio muumini wa watu kupeana taraka.pili ndoa sio Jambo la kukurupuka tu ndugu zangu.nitaanza kuwapA ushauri wanaume;
*Jamani tupende kupunguza na kudhibiti asila zetu tambueni pia kua wanawake nao wameumbiwa asila.unapochukua maamuzi magumu fikilia mala mbili michepuko sio mchongo,nije kwenu wanawake
* Tambueni mamlaka ya waume zenu,mume ni kiongozi jibizana nae kwa heshima na adabu,hakuna haki sawa kwenye ndoa.kipato isiwe sababu ya kumdhalau mwenzio,michepuko sio mchongo.

Sina mengi natumai wahusikamenielewa
Mkuu, fanyia kazi matumizi ya L na R, uzi wako unakinaisha.
 
Watu kulazimisha suluhu sidhani kama inaweza kuwa tatizo, japo ndoa ni ya wawili ila kuna ambao wana maslahi ya moja kwa moja na hiyo ndoa, mnapoivunja na wao mnawaweka pagumu mfano watoto au hata familia zenu mbili.

Kuivunja bila kuangalia au kupima hiyo athari kwa hayo makundi mengine huenda ikawa ubinafsi.
Kila wakati ni lazima kulinganisha athali za kulazimisha suluhu, na athali za talaka. Athali za talaka straight forward zinajulikana na zitahusisha wengi moja kwa moja. Lakini athali za kulazimisha suluhu, mara nyingi humuathili mmoja (kwa uwazi) na wengine athali watakazozipata kutokana na suluhu hiyo zinaweza zisionekane au zisiwepo kabisa
 
Kila wakati ni lazima kulinganisha athali za kulazimisha suluhu, na athali za talaka. Athali za talaka straight forward zinajulikana na zitahusisha wengi moja kwa moja. Lakini athali za kulazimisha suluhu, mara nyingi humuathili mmoja (kwa uwazi) na wengine athali watakazozipata kutokana na suluhu hiyo zinaweza zisionekane au zisiwepo kabisa
Kabisa....wanaweza kulazimisha suluhu kumbe mmja wenu bado Ana kinyongo,hafurahi
Kikubwa ni kupiga chini,kila mtu afanye maisha yake
Na uushinde moyo kubali yaishe

Ova
 
Back
Top Bottom