Ushauri wangu kwa Wanasiasa wa kweli walio ACT Wazalendo na CHADEMA

Ushauri wangu kwa Wanasiasa wa kweli walio ACT Wazalendo na CHADEMA

Wewe baada ya muda utabadilisha hii ID na kuja na ID nyingine!

Tatizo mnazivamia siasa za Tanzania!

mnaleta Schoolboy politics!

Ahaaa ahaaa ww dogo umenichekesha eti atakuja na Id nyingine. Swali dogo muhimu, uliwahi kuleta uzi fulani humu jukwaani ukisema cdm itauwawa na kuanzishwa chama kingine na Tiss. Je ni lini chama hicho mtakianzisha?
 
Bahati mbaya ikiwa asubuhi kila mtu ana msimamo, mchana wanapungua na ikifika jioni wengi unagundua maamuzi yao yalikuwa siyo yenye faida na kumsaidia mwananchi bali kila mtu anaangalia familia yake itaishije.

👉 HAKUNA SIASA HAPA AFRIKA.
Inasikitisha sana kwa kweli. Ila hata ivyo hili halitakiwi kuwarudisha nyuma na kuwakatisha tamaa watu wachache wanaoamini kwenye mabadiliko chanya yanayotokana na itikadi bora. Ni wakati mzuri wa kujipanga vizuri sasa na kuweka mikakati Bora zaidi ya kuipatia nchi yetu siasa bora zaidi zenye watu genuine ambao hawaongozwi na tamaa binafsi.
 
CCM wanatumia kila njia kuwatongoza ACT na CHADEMA ili waingie kwenye serikali na ubunge, kwa kinachoendelea bado kwa upande wa Zanzibar hali imekuwa ngumu zaidi na zaidi kila kunapokucha haswa kunapotokea vifo vinavyoendelea vya wahanga wa ulioitwa uchaguzi Mkuu...
Uko sahihi kabisa ndugu. CCM hawalali na kila siku wamekuwa wakipanga ni kwa namna gani watabadili msimamo wa jumuiya ya kimataifa juu ya Tanzania. Strategy yao ya kwanza ndo hii, kuwarubuni wanasiasa njaa ambao hawako kwenye vyama ka sababu ya itikadi zinazolenga kumkomboa mtanzania bali wako kwenye vyama kwa sababu ya maslahi yao binafsi.

Tunachotakiwa kufanya wana mabadiliko ya kweli tusioongozwa na njaa ni kutokukata tamaa na kuwa focused zaidi kwenye kujikita kwenye misingi na kujijenga zaidi kwa maslahi mapana ya Taifa letu huko mbeleni.

Najua tutapata shida ila inshallah tutafanikiwa hakika!
 
Unajua wanasiasa wa Africa wanafanya wanachama kama macartoons vile si ajabu hawa kwenye vikao vyao vya siri wanakubaliana lakini kwenye hadhara wamejipanga huyu sema hivi ,wewe sema hivi ,yule sema hivi . Kwa asili ya wenye chama cha chadema wapo kwa ajili ya FWEZA kile chama ni kama mradi
Wana siasa wengi wa Africa wanatuchukulia wananchi kama mazombi, watu wasiojielewa na wa kupelekeshwa tu. Ni muhimu kwa Tanzania kutengeneza kizazi thabiti cha kujihusisha na siasa, kizazi ambacho hakitaendeshwa na maslahi binafsi bali maslahi mapana ya wananchi wote. Kizazi ambacho kitajikita kwenye kunadi itikadi na kuielezea kwa wananchi Kama itikadi bora ya kutengeneza sera za kuwaletea maisha mazuri na yenye maana duniani.

Wakati ni sasa! Tusikate tamaa
 
Lord denning

Mkuu your driving wrong side of the road.
Yaonekana uwajui vizuri wananchi wa Tanzania.
Umewahi kujiuliza kwanini walipoambiwa na Chadema watu waingie barabarani lakini wakapuuza tena kwa furaha?
Je umejiuliza kwanini mpambanaji kamanda mkuu wa Bawacha Halima Mdee na wenzake wameapa mbele ya Spika Ndugai?
Au umesahau kuwa vipaumbele vya Watanzania sio lazima viwe sawa na vipaumbele vya Ulaya?
Mkuu jiongeze kwanza ili uwajue Watanzania.
 
Inasikitisha sana kwa kweli. Ila hata ivyo hili halitakiwi kuwarudisha nyuma na kuwakatisha tamaa watu wachache wanaoamini kwenye mabadiliko chanya yanayotokana na itikadi bora. Ni wakati mzuri wa kujipanga vizuri sasa na kuweka mikakati Bora zaidi ya kuipatia nchi yetu siasa bora zaidi zenye watu genuine ambao hawaongozwi na tamaa binafsi.
Tatizo lipo kubwa na hasa tunapozungumzia mikakati, kuna watu wanawekwa tayari ili kutofanikisha haya mambo.

Mfano nani yupo tayari kumwambia bwana mkubwa anakosea kujifanya yupo juu ya katiba?
KUMBUKA: Kumpata kiongozi mzuri lazima aliye juu awe mfano kwa walio njiani kuchukua nafasi.
 
Hapana! Siamini kama watu walikataa kuandamana. Ninachoamini ni kuwa vyombo vya dola viliwatisha watanzania hali iliyofanya washindwe kuandamana.

Tanzania ina vipaumbele vyake na Nina uhakika kuwa hakuna tofauti ya msingi na vipaumbele vya ulaya. Binadamu wote wanahitaji maisha mazuri, makazi bora, huduma bora za kijamii pamoja na uchumi mzuri wa kuwawezesha kuishi vizuri na vipato halali na vizuri. Kama demokrasia tunayoipigania inahamasisha haya sioni shida yeyote katika hili.
Lord denning

Mkuu your driving wrong side of the road.
Yaonekana uwajui vizuri wananchi wa Tanzania.
Umewahi kujiuliza kwanini walipoambiwa na Chadema watu waingie barabarani lakini wakapuuza tena kwa furaha?
Je umejiuliza kwanini mpambanaji kamanda mkuu wa Bawacha Halima Mdee na wenzake wameapa mbele ya Spika Ndugai?
Au umesahau kuwa vipaumbele vya Watanzania sio lazima viwe sawa na vipaumbele vya Ulaya?
Mkuu jiongeze kwanza ili uwajue Watanzania.
 
Tatizo lipo kubwa na hasa tunapozungumzia mikakati, kuna watu wanawekwa tayari ili kutofanikisha haya mambo.

Mfano nani yupo tayari kumwambia bwana mkubwa anakosea kujifanya yupo juu ya katiba?
KUMBUKA: Kumpata kiongozi mzuri lazima aliye juu awe mfano kwa walio njiani kuchukua nafasi.
Tukianza kufanya siasa hizi za kweli. Amini nakwambia wasaliti na mamluki tutawagundua mapema sana!

Lazima sasa tujikite kwenye siasa halisi zilizo kwenye ukweli na zilizojikita kwenye itikadi zilizo Bora kwa maendeleo ya wananchi na Taifa letu
 
Mwanasiasa gani wa kweli na kila mmoja anampinga ccm ili apate yeye nafasi ya kula!
Umecomment hapa utafikiri wanasiasa wa CCM hawapo pale kwa ajili ya matumbo yao. Pumbavu. Hao Hadi wanaua watu na kubambikia kesi ili aendelee na matumbo yao.
 
Achana nao hawa vilaza ndugu. Kujitoa ufahamu ndo jadi yao
Umecomment hapa utafikiri wanasiasa wa CCM hawapo pale kwa ajili ya matumbo yao. Pumbavu. Hao Hadi wanaua watu na kubambikia kesi ili aendelee na matumbo yao.
 
Umecomment hapa utafikiri wanasiasa wa CCM hawapo pale kwa ajili ya matumbo yao. Pumbavu. Hao Hadi wanaua watu na kubambikia kesi ili aendelee na matumbo yao.
Kwenu kuna mtu yeyote aliyeuwawa!
 
Yanazidi kutimia. ACT wazalendo hadi viongozi wakuu wameingia kwenye mtego wa CCM. Huu ni wakati sahihi kuzingatia huu uzi!
 
Back
Top Bottom