Ushauri wangu kwa Wema Sepetu

Huu ni ushauri wa kindezi, we unafikiri watu wote wanaamini kwenda kuhiji Mecca kama wewe?
 
nisamehe Mimi!

Ila washeshimiwa bungeni wa naendelea
pita kimya kimya; msemo wao hainaga makombo
Ninaposema kiwanda namaanisha uzalishaji bado unaendelea
Sasa hivi tunaelekea kwenye uchumi wa kati
Tz ya viwonder hii
Shemu usharudisha bodaboda ya watu?
Jamaa anayajenga na Mshana junior
Anataka awabadilishe vikojoleo cha kwako kihamie kwa dada na cha dada kije kwako shauri yako.
 
Hahaha na speed ya uchumi
Ya Tanzania ya vi_ wonder umeongezeka kwa asilimia 7.8% haijawahi tokea toka tupate Uhuru.


hahah Mimi ni mjukuu na ni uzao wa mzee msisi handeni; kwaiyo kuwa na amani kabisa.
 
Labda baada ya kuonja ladha ya jela ataelewa.
 
Mtoto wa kiislamu kiss my black assssss
 
Hahaha na speed ya uchumi
Ya Tanzania ya vi_ wonder umeongezeka kwa asilimia 7.8% haijawahi tokea toka tupate Uhuru.


hahah Mimi ni mjukuu na ni uzao wa mzee msisi handeni; kwaiyo kuwa na amani kabisa.
Hapo kwa mzee msisi vipi mkuu?? Tusijetukanana humu siku moja kumbe ndio wale wale
 

mapipa umempandisha hadhi sana, kimatendo kama mtu wa tandale
 
Akikua atachapwa Na Mikuyenge na Ikishamuingia Sawa Sawa Hatosikia la Mtu.. Atakua wa Kupigwa Miti mpaka imee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…