jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Sina uhakika kama kuna chuo kinachotoa mafunzo mahususi ya uingozi wa sekta ya afya kwa madaktari/wauguzi wanaosimamia vituo vya kutolea huduma.
Tunashuhudia kila uchao wafawidhi wa vituo wakishitumiwa kushindwa kusimamia ingawa sijawahi kusikia kama kuna mfumo maalumu wa kuwaandaa wafawidhi hawa katika kusimamia vituo vya huduma za afya.
Tukiendelea kuwasimamisha kila janga linapotokea sidhani kama tutafika.
Ufumbuzi muhimu ni kuandaa sera ya mafunzo ya wafawidhi wa vituo hivi na kuwafuatilia.
Tunashuhudia kila uchao wafawidhi wa vituo wakishitumiwa kushindwa kusimamia ingawa sijawahi kusikia kama kuna mfumo maalumu wa kuwaandaa wafawidhi hawa katika kusimamia vituo vya huduma za afya.
Tukiendelea kuwasimamisha kila janga linapotokea sidhani kama tutafika.
Ufumbuzi muhimu ni kuandaa sera ya mafunzo ya wafawidhi wa vituo hivi na kuwafuatilia.