Unaposema hivyo wewe umesimama wapi - confused au una mashaka kama Zitto ni yule yule? Na kama una mashaka kama ndiye hizi conclusion zinazofuata hapa chini umezipata wapi? ikiwa umeshakuwa na judgements zako tayari kuhusu Zitto. Je, ni kweli huna chuki au ndio unafiki - sorry to use that word!
Well, km umenisoma ni kuwa sijasikia CDM wakimtuhumu ZZK au hata kumpiga vijembe,Ila mimi nimemsikia Bungeni akichomekea kuhusu Urais kwa stayle yake.Hembu jaribu pitia ulichopost halafu uangalie conlicts za message zinazojitokeza?Na Iam sure you are a better writer than many of us in this forum.So its quite obvious wewe si mtu wa kupeleka mized messages.
Well, conclusion zangu nimezipata katika flow ya posting zako mkuu wala usiwe na hofu.
Haya ndio makosa yako yaani tayari umeshaanza kusema mimi ni msemaji wa Zitto! - How? ningekuwa msemaje wake ningeweza vipi kuandika ushauri wangu ambao wewe hukuandika ila umerukia treni kwa mbele pasipo kupima..Nimeonyesha makosa yake kichama na kueleza kwa kirefu pia kwamba Zitto naye katengwa vile vile hili ndio usilottaka kusikia. Je, ni kosa kusema mnamtenga? Kama mnaona kapotea kwa nini asipewe ushauri mzuri ili arudi kuwa yule Zitto mnayemtaka badala ya kumshambulia kila siku kwa vitu ambavyo havihusu kabisa..
I guess unafahamu hii ni forum ,its not a one way publishing medium.So unless umeandika ni Sacred posting na hairushusiwi discussions,sijui kama kuna haja ya kulazimisha watu wameze kile unachokiona ku fitt katk intention yako.(No body would care).
Pengine hujanisoma vizuri lengo la mada hii..Nachozungumzia mimi sio scandal za chama au nje ya chama isipokuwa makosa anayoyafanya Zitto kusimama independent akiunga mkono sera za CCM.. haihusiani na hizi scandals kabisa wla kukisiwa kuchukua rushwa, kutangaza nia ya kugombea urais na kadhalika ambayo binafsi yangu sioni makosa hata kidogo na wala hayapo nje ya framework. Namtetea Zitto ktk hizi scandals na sio support yake kwa sera za CCM ambazo ndizo chanzo cha msuguano baina yake na Chama. Na wewe unazungumzia zaidi scandals ambazo ni tuhuma, wakati mimi nazungumzia facts zilizopo kuhusu msimamo wa Zitto, na hata yeye mwenyewe hujifsifia kwa kauli tatanishi zinazodai He makes decision based on what he think is right for the people, rather than those rights must coinside with his party... haya ndio makosa nayoyazungumzia mimi kuwa zaidi..
Shida hapa ni wewe mwenyewe kwani, watu wote wameanzia katika ushauri wako.Hizo scandal zikitajwa ni just tuu kuonyesha how dangerous things might turn if something goes wrong.Ila in between umeonyesha wazi kuendekeza "
Black mailing" kwa kusuggest CDM waje na mafail yao, na Zitto aje na yake halafu waangalia nani hana kosa.Then ukahamia katika
"conspiracy theories".Flow nzima umekuwa
Defensive kwa Mh. Zitto na kutaka play
"victim".Hizi si signs za honest player in any discussion.Mimi siamini kwa uwezo wako kuwa unaweza weka illogical entries ,with mixed message kimakosa unless ume kusudua na ndio maana defence yako hapa umekwepa core parts za my standings.
Hujawa Clear kwanini umeanzisha thread juu ya mh Zitto halafu tayari unataka kuwa dictator kwa kuweka mipaka ya hiyo discussion.
. Hapa ndipo tunapotofautiana kwa sababu siamini ktk majina ya watu hata kidogo. Nyerere alipoondoka uongozi , CCM ilikufa? Where was JK au EL wakati wa Utawala wa Nyerere?..Je, si walikuwepo kina Bomani, Fundikira, Warioba, Salim, na leo hawana tena nguvu ndani ya chama mbona bado kinaendelea..Fikra hizi za ktukuza watu ndizo naziogopa kama ukoma hasa pale watu wanapofikiria kwamba pasipo Dr.Slaa, Mnyika na Mbowe basi CDM haiwezi kwenda mbele - Hapana mkuu wangu hawa wote pasipo CDM wasingekuwa hapo walipo.. Ni CDM inayotakiwa kupewa sifa kwa sababu Chama sii nguvu ya mtu mmoja.. Ten years back Dr.Slaa alikuwa mbunge tu na Mnyika mwanafunzi chuo kikuu wote wameikuta Chadema.. Hivyo wao wanahitajika na chama kutokana na nafasi walizoshika kama dereva, konda na utingo wa bus.. ni muhimu pale anapokuwa kashika usukani na tupo safarini lakini hii haina maana watu wengine hawawezi kuendesha hilo bus ama kazi za konda na utingo.
Hapo ndipo nami natofautiana na wewe.Hiyo safu ya CCM uliyoitaja ni successful generations ambazo walipishana na si generation moja iondoke kwa kujitoa.Sasa kama hufahamu kuwa kupishana kunakuwa na maandalizi
Kwa taarifa yako JK pamoja na mapungufu yake yote akiungana na kama viongozi wawili tena Kesho atangaze kuwa haoni tena sababu ya kuwa kiongozi wa CCM na Nchi CCM inakufa within 24hrs.Na hata CDM pia kuna viongozi fulani wakitoka chama kinaweza shake au hata kuanguka.
Bado nasimama kwa uhakika kuwa kuna viongozi katika vyama vyote wakiamka asubuhi na kusema kuanzia leo sipo chma fulani ghafla.Vyama hivyo vitatikisika na kudhoofika sana kama si kufa na kubaki kama vilipo vyma vingine visivyo hata na madiwani.Na Pia nina Hakina kuwa Zitto si sehemu ya viongozi wanaoweza leta huo mtikisiko.Kwani tayari keshawapa watu mashaka akiondoka atakuwa kathibitisha tuu wanachama walichokuwa wakiamini na kuona dalili.Na hapa ndipo nilpoona makosa yake.Kama wewe ni mmoja wa watu wachukuao maoni yake na ya CCM huku ukiwa na record yake utadhani katika vijiji na miji iliyopo baada ya mapori mengi toka Dar bado wanamwamini hivyo.Tayari wafuasi wa CDM wengi nchini wanamtamka positively pale anapofanya kitu kwa ajili ya chama.Ila baadaye hupotea katika ndimi zao.
Nadhani umeshaona ni wapi tunatofautiana hapa na kwingine.Ila usihofu kutofautiana.
Ebu nionyeshe sehemu niloandika maneno hayo hata kwa ukaribukisha nikayakataa.. Mkuu wangu Zitto ana goals ktk maisha yake, anajiamini kiasi kwamba anaona anazo sifa za kuweza kusimama kuwa rais wa Tanzania. Kwa nini mnataka kumkatisha tamaa badala ya kumpa moyo zaidi?.. Wenzetu wazungu wakiwa na watu kama Zitto huwasifia zaidi badala ya kukatishwa tamaa. Mwanangu mimi anafikiri atakuwa Prime minister when she grow up! Je, unataka nimwambie nini?...
Mh Zitto hata mimi napenda ujasiri wake na jinsi alivyokuwa akitamka maneno kwa ufasaha nmpa energy kuliko hata mwili wake.Ila kafanya bad timing na ka execute vibaya kajenga enemy katika supporter wake.KWa taarifa yako siku Zitto anatolewa bungeni kwa hoja ya Mudhihir huku Slaa akijtahidi mtetea lakini kelele za CCM zikizidi nilikuwa naangalia Bunge live.Nilitupa remote ikakosa my TV na kupasuka.Nilikuwa katik concentration ya hali ya juu kiasi ch akufanya ubongo kuwa na nafasi ndogo sana kufikiri nje ya tukio lile na maudhi juu ya Bunge kwenda mbali vile.Zitto alisimama vyema.Sasa waumini wake wanaona kuwa si yule, na wanahitaji dhihirishe hivyo.Yeyeanaonekana kutaka umma ulazimishe njia zake bila yeye kuwaambia kama bado yupo katika imani yao.
Kuhusu Binti yako kuwa waziri mkuu.Sikushauri umpe huo moyo na sabau ni Very Simple kwanini asipanie Urais ambao atahitaji kura za watu na si kuteuliwa na mtu mmoja(rais wa kipindi hicho) at first place?Kwanza cheo chenyewe kinaweza kisiwepo kama katika itashauri otherwise.
Hizi chuki na kuhukumu watu ni siasa za CCM ambazo hazitaki kuona mgombea yeyote zaidi ya yule anayeteuliwa na CC, mfumo huu haupo CDM lakini wafuasi wake wanataka iwe hivyo kwa sababu mmelelewa na CCM..Bila shaka, mimi nitampa moyo Zitto, Mbowe au mtu mwingine yeyote nayemwona anafaa kugombea au yule mwenye kuijiamini yeye kugombea. Hii ni Nia ya mtu na haipingwi kama ina malengo mema, maadam wananchi ndio wataamua nani atakuwa mgombea kwa ushindi au rais wa nchi yetu sio hapa JF au washabiki wa Chadema.
Mwenye hana hana hakika kuwa hata akijitosa atapata.Ndio maana vurugu nyingi na kudai kuchezewa rough huku hata muda wa kuchukua form achilia mbali kufanya kampeni halali na za wazi haujafika.
Na unapolitumia neno hili blackmail, nadhani hufanyi haki hata kidogo kwa sababu umeonyesha wazi humpendi Zitto na hivyo chochote kinachokwenda kwake ukaona sifa ni ku blackmail chama!..
Mkuu wewe ndie ulielea habari kuwa sijui wengine CDM walete mafile yao na Zitto alete yake .Sasa kama hujui huo mchezo kwa lugha nyingine ni blackmailing.Kumnyamazisha mtu kwa makosa mengine ili asiseme lako.LAKINI KATIKA LOGIC NA RATIONALITY kosa la mmoja halifutwi na la mwingine.Ila linaongeza wakosefu.Na flow nzima hapa si kushindanisha wanachadema kwa makosa yao.Ila kumwangalia Mh. ZItto in the center of all these attention.Hapa kama una dhani unataka mshauri mwingine bado unaweza mwanzishia na watu watambana hivyo hivyo.Na akina na majibu sahihi atakuwa amedhibitisha kuwa shujaa.Kwa taarifa yako mimi hata baadhi ya interview katik TV na radio zetu huwa naziona kam asehemu za kujidhalilisha.Kiongzoi anasakama nafasi muhimu katika nchi anakwena jukwaani kuulizwa viswali hata katika Library huwezi weka copy ya record yake,ila bado wanajiuma jiuma.
. Nachoandika sio habari ya kubuni au tungo za hadithi.. Ni taabu sana kukuelimisha wewe kwa sababu unafikiria Negative all the time.. Nimesema mafaili haya ni tungo hayana ukweli ndani yake. Hizi ni habari zimetungwa makusudi kuondoa imani ya Zitto kwa aidha niseme Mbowe au kiongozi mwingine yeyote lakini wakati huo huo Mbowe na kina Slaa pia nanazo habari za Zitto zinazowafanya wasimuamini vile vile. Kila mtu ana faili la mwingine pale CDM..Lakini hizi habari zote zimetungwa kwa malengo ya kuwakosanisha zaidi ya kuwapa ukweli, hivyo nimewaomba wakae pamoja na kuzitazama habari za pande zote mbili watagundua ukweli ni upi.. Kuacha habari hizi zimekaa vichwani mwa wanachama zitazidi kuwatenganisha na kuamini tuhuma ambazo zimepikwa.. Sijui kama unanielewa sasa?
mkuu naona unatuletea tungo halafu unataka tuanze ishi na kuamini kila tungo.Kila tungo unayochagua kuna milions ya tungo bora +njia bora zaidi ya kuzipresent.So kama ni tungo zako au ni za CCM bado zinaweza zisiwe the best kwani hadi sasa Zimekuwa Zimwi kwa Zitto zaidi ya wengine.Something that prove kuwa CCM wamepata maximum effect kwa Zitto.NDIO UNACHOMAANISHA?Sasa kama unampa Moyo azidi kula dose then nitakuwa namashaka na intention yako.
Hapa issue ni kuwa hizo Tungo alizonazo Zitto ndizo zina madhara kwani zinamuamisha zaidi ya wengine.Na hii inaonyesha kuwa wengine wengi wapo katika timu ndio maana hawan hizo desires kali kam alizo nazo Zitto.And funny enough Mnyika angekuwa na hizo desires angekuwa amejenga base ya vurugu kupitia vijana n aleo angekuwa na base imara sana.
dah wewe mgumu sana, nachozungumzia ni TUHUMA na sio UNAJUA kama mtoto haendi shule ama mtoto mtundu kwa sababu tayari unao ushahidi. Huwezi kumkanya mtoto kwa jambo la kusikia tu.. Kama umesikia haendi shule lazima ufuatilie kwa wanafunzi wenzake au walimu wake uhakikishe kweli haendi shule, halafu ndio unamwita kumuuliza kwa nini haendi shule..Na kama mtoto anaenda shule siku zote unategemea atakujibu nini iwapo tayari umeshamhukumu?. Fanya Utafiti wa habari kabla ya kukurupuka nakumwekea mashaka mwanao.
Nadhani hujanielewa na hivyo hatutaelewana.Hapa sijakuambia kuwa ni habari za kusikia.Hapa nimekupa mfano tena mfano ulio hai sana katika familia zetu,kuwa mtoto haendi shule na siku chache aendazo anafany amatendo ya kuleta hasara katika familia isiyo na hela kihivyo.Katika kumuonya mtoto akawa ana play victim, na majirani wasio na nia njema wakaingilia na kuside na mtoto kwa vile lengo lo ni kunfanya aone aliyofanya kama si makosa ,na baadaye kuzidi harikibika na kuitia familia hasara.Sidhani kam animekurupuka.
Kesha inflict damage ktk image yake kivipi? Kwamba anakula rushwa au.. Nicholas niliyoyaandika yote toka mwanzo hayahusu kabisa image ya Zitto kwa watu isipokuwa wewe ndio umepigwa changa la macho kuamini hivyo.. Ukiambiwa Mkandara anatembea na Mkeo utanichukia sana na pengine kufikiri nimeharibu image yangu lakini ukweli ni kwamba sijatembea na mkeo, hivyo mwenye kuharibu image ni wewe unayechukua tuhuma na kuzikuza wakati sio kweli. Ni upande huu hutaki kuutazama ikiwa umesha nishutumu nikiamua kukaa mbali na wewe kwa nini naitwa tena Mkosa!.
Nadhani kabla ya kuona kuwa unachodhani kuwa unawaelemisha watu ndicho sahihi sana ,you have to prove that you are that credible ndugu yangu.SINA WASIWASI NA UWEZO WAKO ILA WA NIA NA MALENGO YAKO.
Mukandara hata article yako inaonyesha wazi kuwa Zitto anapoteza muda kukorect ilani za CCM zaidi ya kufanya za CDM, ni arrogant, na mengine yanayoashiri akuwa si sehmu ya timu.Pengine unadhani kila kitu lazima kisemwe kwa neno moja ndio kimanishe hivyo.Hivi mwizi nikitaka mtaja katika tukio ambalo mwenye mali hakuridhia.Nikisema fulani(Jina) alikuja akinyata, akapita katik upenyo wa nyumba na kuingia ndani na kuchukua ki/vitu fulani na kutokomea huku akijificha kwa kupitia shambani .Then Mtu akisema jamaa kaiba kuna haja ya kutoka povu?
Hata wewe ukiambiwa umekula waife wangu hata kama sitakuuliza au kukutetea kwa vile sina mazingira ya kukuhisi ila in the future mkishuka katika basi moja bado nitakuwa curious katika hizo coincidences.Kwa taarifa yako watu wenye makovu makubwa na miili mikakamavu huwa wanahisiwa kuwa wezi hata kama waliyapata kwa ajali au hata walishaancha hayo matendo.Na huwa kila waendapo huwa hata wao huona nyuso na hali za watu zikibadilika na mawasiliano yanakuwepo bila kusema.Wachahce ndio hujenga mazingira ya kupasua hilo then kudescuss ingawa bado haibadilisha sana matokeo kwa wengi.Any way naona unanilazimish andika sana ingawa huwa mimi si mwandishi mzuri.
[/QUOTE]
Mu
U know what I am tired of arguing, I guess there isn't really better ways for effectively managing this conflict.. Kwa hiyo bora amini unachoamini na niache nami niamini nachoamini..
haha...nadhani unataka ichukulia too personal.huku ukisahau kuwa this is public domain .And a good thing huwa nasoma sana posting zako katika great thinker.Sasa ulichoandika hapa unanitisha, unaniogopesha .Unafungua undani wako, unaonyesha kuogopa kuwa honest na kuchambua hoja in constructive ways.Challenges unazigeuza kuwa kitu kingine na si kuzitumia ku perfect your ideas.Sidhani kama umeandika kitabu kilipitia kwa critics.
SI NIA YANGU USIAMINI UAMINICHO.ILA NI NIA YANGU UWEKE SAWA UNACHOTAKA TUAMINISHA HUMU NDANI.Otherwise katik hii thread sijaona chochote kinacho reflect "Exploration of reality".Kuna articles nyingi umeandika na nimekuwa nazisoma kwa umakini mkubwa na ndio maana nakukubali sana katika uandishi,ila sikubaliani na intention yako.Mi kama ni kukubana hapa nitakubana vyema.Na sitokuwa diverted na conspiracies unazotaka tuziamini sasa unaziita Tungo, sijui ni tungo za CCM au zako ila.SI kitu kigeni kuwa CCM wapo busy kwa mipango ya kusambaratisha vyama vingine tangu siku za giza.Na hiyo haijawa na matokeo kama walivyopanga CCM kwa CDM.Ingawa sijui ni kwa nini CCM wasiwekeze katika maeneo mengine.
Labda nikuombe upitie postings zako halafu unagalie kama zinasupport unavyomalizia.Au utakuwa kama Nape?Kuna sehemu aliamua kuwapiga madogo watu kuwa hawezi rudia soma hizo postings zilizoandika saa 11 asubuhi .Off -course alikuwa akijitahidi kutoingia sana katika hasira ,za maneno makai ya wachangiaji.Ila naye aliteleza kwani kusoma ni kitu alipaswa kama kaamua ingia katika online battle ya kuweka image ya chama sawa,ila kujibu ndipo angeamua ku weka katika summary ili kujibu yanayorudia na yasiyo na maana.Kwani postings aanzoruka pia zitabaki online na nyingine zitakuwa ngumu sana kwa malengo yake online.Kuna vitu havitegemei historia umejibu maswali mangapi ,kwani kila swali linajibu kiu ya kundi la watu fulani.