CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Habari wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, lakini nitoe angalizo kuwa napenda mada yangu usomwe na watu wenye akili timamu na kujibiwa na watu wenye ufahamu.
Binafsi ninahuzunishwa sana na baadhi ya sajili kwenye Klabu yangu pendwa ya Simba.
1. Usajili wa mawinga kumi na moja.
Saido, Kibu, Chama, Clamo, Onana, Phili, inasemekana na Luis Miquesson.
2. Kukosekana back up ya Beki wa kati.
Msimu uliopita Simba ilikuwa na wachezaji wafuatao Katika Beki wa kati; Inonga, Onyango, Nyoni, na Kenedy Juma. Sasa ina Mabeki watatu tu, kitu ambacho ni hatari mno. Akiumia mmoja au akatumikia adhabu ni tatizo kubwa mno.
3. Kukosa kiungo mkabaji CDM.
Ili ni kosa la kujirudia baada ya Thadeo Lwanga kuumia, Simba imekuwa na tatizo kubwa sana kwenye hili eneo lakini cha kusikitisha hadi sasa hawajapata kiungo mkabaji wa asili 6 CDM. Baada yake ina Viungo 3 wote ni BOXTOBOX 8; Mzamiru, NGOMA, kanute.
Maeneo muhimu.
1. Golikipa
2. Beki wa kati
3. Kiungo mkabaji
Hao Mawinga mnaowajaza hawana faida.
Tumieni akili.
Moja kwa moja niende kwenye mada, lakini nitoe angalizo kuwa napenda mada yangu usomwe na watu wenye akili timamu na kujibiwa na watu wenye ufahamu.
Binafsi ninahuzunishwa sana na baadhi ya sajili kwenye Klabu yangu pendwa ya Simba.
1. Usajili wa mawinga kumi na moja.
Saido, Kibu, Chama, Clamo, Onana, Phili, inasemekana na Luis Miquesson.
2. Kukosekana back up ya Beki wa kati.
Msimu uliopita Simba ilikuwa na wachezaji wafuatao Katika Beki wa kati; Inonga, Onyango, Nyoni, na Kenedy Juma. Sasa ina Mabeki watatu tu, kitu ambacho ni hatari mno. Akiumia mmoja au akatumikia adhabu ni tatizo kubwa mno.
3. Kukosa kiungo mkabaji CDM.
Ili ni kosa la kujirudia baada ya Thadeo Lwanga kuumia, Simba imekuwa na tatizo kubwa sana kwenye hili eneo lakini cha kusikitisha hadi sasa hawajapata kiungo mkabaji wa asili 6 CDM. Baada yake ina Viungo 3 wote ni BOXTOBOX 8; Mzamiru, NGOMA, kanute.
Maeneo muhimu.
1. Golikipa
2. Beki wa kati
3. Kiungo mkabaji
Hao Mawinga mnaowajaza hawana faida.
Tumieni akili.