My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Alafu Wewe Una kimdomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Dada kwahiyo ubunifu nikuleta mada na shuhuda za namna ya kuwatoa hiyo bikra?!
Ndio maana nasisitiza na vijana kutunza bikra zao.Kitu kinachonichekesha kwa hawa wanaosema watuza bikra moja kati ya hoja zao kubwa wanasema eti wanalinda heshima mume wakati kumbe mume wake wa baadae ni ZERO IQ WA JAMII FORUM ambaye hata umuhimu wa kibra haujui ha ha ha ha ha ha
Yaani mnatuza vitu muhimu sawa tunakubali lakini sisi tunaonana kawaida tu coz kabla ya kuoa tumekula sana tunda kimasihara
Hilo nalo ni tatizo kubwa sana, mila na desturi zetu pamoja pia zinachangia hili tatizo, kwa mfano ndugu zetu Wamakonde na Wazaramo na ile mila yao ya kuwacheza unyago mabinti wadogo, inachangia mno wasichana kuanza ngono wangali na umri mdogo. Tuanze taratibu kuelimishanaVituka hongera sana wewe ulibahatika lakini kwa jamii yetu hii iliyoparaganyika.. Watoto wengi hubikiriwa wangali hawajitambui na hawatambui umuhimu wa kujitunza usichana wao... Na wale wanaojitahidi kujitunza hujukuta wanageukia mchezo wa kulawitiwa... Ni USHAURI mzuri lakini sidhani kama utawafikia walengwa
Jr[emoji769]
Kila siku bikra bikra bikra.... wakipumua kidogo basi single mama. Yani hata kutunga story za kiduku lilo hawawezi? NonsenseAlafu Wewe Una kimdomo [emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee, Nimekuelewa dada! Sina la zaidiKuna mtu anakupangia wewe mtoa mada jinsi ya kutumia pesa zako? Au ule hiki au usile kile? Je mavazi unayovaa? Au leo mchana ule nini? What gives you a right kumpangia mwanamke afanye nini na mwili wake. Virginity is bullshit. It's a way of men controlling women's bodies.
Dear girls your body your choice.
Atakaekuja hapa sijui mungu ndo kaiweka etc. Hiyo ni anatomy kama ulivyo mkono au mguu. Hizo dini zote ni sexist! Tena ukiangalia viongozi wa dini since way back walikua wanaume hapo unategema mwanamke asibaguliwe na kua controlled.
Na atakae ni quote ******a. Simjibu mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kinachonichekesha kwa hawa wanaosema watuza bikra moja kati ya hoja zao kubwa wanasema eti wanalinda heshima ya mume wake baadae wakati kumbe mume wake wa baadae ni ZERO IQ WA JAMII FORUM ambaye hata umuhimu wa kibra haujui ha ha ha ha ha ha
Yaani mnatuza vitu muhimu sawa tunakubali lakini sisi tunaonana kawaida tu coz kabla ya kuoa tumekula sana tunda kimasihara
Ndio kwanza Feb 😀Last Year nimeoa kitu sealed aiseww wadada tunzeni bikra..
Nimepanga New iya nimpe Noah yangu iwe yake.
Ikemee wanawake wanaona fashion leo nmepanda daladala mdada anaongea ujinga kaambiwa na konda sogea mbele anasema sikuizi nyuma ndio mpango mbele pakuzalia tu nikashtuka sana.Dah,dont be so negative my dear naamini bado wapo wenye nazo bwana na hizo habari za bikira ya nyuma nadhani ni wakati sasa jamii yetu ikemee tabia hizo kwa jinsi zote mbili.
Sasa kama uliolewa ukiwa na miaka 21?Hahaha hapana, ila nimekuja kuwapa ushuhuda kwamba inawezekana kutofanya ngono mpaka pale binti atakapoolewa.
Kupanic ni lazima hasa ukikumbuka kuwa umetolewa bikra kwa zawadi ya NOKIA ( Obama)Kuna mtu anakupangia wewe mtoa mada jinsi ya kutumia pesa zako? Au ule hiki au usile kile? Je mavazi unayovaa? Au leo mchana ule nini? What gives you a right kumpangia mwanamke afanye nini na mwili wake. Virginity is bullshit. It's a way of men controlling women's bodies.
Dear girls your body your choice.
Atakaekuja hapa sijui mungu ndo kaiweka etc. Hiyo ni anatomy kama ulivyo mkono au mguu. Hizo dini zote ni sexist! Tena ukiangalia viongozi wa dini since way back walikua wanaume hapo unategema mwanamke asibaguliwe na kua controlled.
Na atakae ni quote ******a. Simjibu mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikemee wanawake wanaona fashion leo nmepanda daladala mdada anaongea ujinga kaambiwa na konda sogea mbele anasema sikuizi nyuma ndio mpango mbele pakuzalia tu nikashtuka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
we nae huna akiliKupanic ni lazima hasa ukikumbuka kuwa umetolewa bikra kwa zawadi ya NOKIA ( Obama)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kinachonichekesha kwa hawa wanaosema watuza bikra moja kati ya hoja zao kubwa wanasema eti wanalinda heshima ya mume wake baadae wakati kumbe mume wake wa baadae ni ZERO IQ WA JAMII FORUM ambaye hata umuhimu wa kibra haujui ha ha ha ha ha ha
Yaani mnatuza vitu muhimu sawa tunakubali lakini sisi tunaonana kawaida tu coz kabla ya kuoa tumekula sana tunda kimasihara
Zero IQ
Inawezekana wewe na WAVULANA wenzio hamjui umuhimu wake, lakini WAPO WANAUME wanaojua nini maana ya kuoa mwanamke bikira. naomba pia nieleweke kwamba wale walioolewa wakiwa sio BIKIRA sio kwamba wao ni wanawake wabaya sana, hawana thamani na wakozefu sana, natambua wapo waliofanyiwa ukatili kama ubakaji na kadhalika. Ndio maana nasema kama kuna uwezekano mwanamke ukajitunza mpaka utakapoolewa kuna faida nyingi sana kuliko hasara.
😕Kupanic ni lazima hasa ukikumbuka kuwa umetolewa bikra kwa zawadi ya NOKIA ( Obama)
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana wewe na WAVULANA wenzio hamjui umuhimu wake, lakini WAPO WANAUME wanaojua nini maana ya kuoa mwanamke bikira. naomba pia nieleweke kwamba wale walioolewa wakiwa sio BIKIRA sio kwamba wao ni wanawake wabaya sana, hawana thamani na wakozefu sana, natambua wapo waliofanyiwa ukatili kama ubakaji na kadhalika. Ndio maana nasema kama kuna uwezekano mwanamke ukajitunza mpaka utakapoolewa kuna faida nyingi sana kuliko hasara.Kitu kinachonichekesha kwa hawa wanaosema watuza bikra moja kati ya hoja zao kubwa wanasema eti wanalinda heshima ya mume wake baadae wakati kumbe mume wake wa baadae ni ZERO IQ WA JAMII FORUM ambaye hata umuhimu wa kibra haujui ha ha ha ha ha ha
Yaani mnatuza vitu muhimu sawa tunakubali lakini sisi tunaonana kawaida tu coz kabla ya kuoa tumekula sana tunda kimasihara
Zero IQ
Naheshimu mawazo yako darling wala sikupingi.Kuna mtu anakupangia wewe mtoa mada jinsi ya kutumia pesa zako? Au ule hiki au usile kile? Je mavazi unayovaa? Au leo mchana ule nini? What gives you a right kumpangia mwanamke afanye nini na mwili wake. Virginity is bullshit. It's a way of men controlling women's bodies.
Dear girls your body your choice.
Atakaekuja hapa sijui mungu ndo kaiweka etc. Hiyo ni anatomy kama ulivyo mkono au mguu. Hizo dini zote ni sexist! Tena ukiangalia viongozi wa dini since way back walikua wanaume hapo unategema mwanamke asibaguliwe na kua controlled.
Na atakae ni quote ******a. Simjibu mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app