USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

Mwanamke ni yule yule....uwe umemtoa bikra au used....ni same woman......tuwapende tuu.
Nenda kwa Mangi kanywe soda nakuja kulipa. Lakini kama una mtoto wa kike, tafadhali mshauri ajitunze mpaka atakapoolewa. You will thank me one day
 
1. Utakuwa umetii amri ya Mungu ile ya 6.
2. Utakuwa umepunguza chances za kupata magonjwa hatari yanayoambukizwa kwa njia ya ngono kama Ukimwi, cervical cancer na mengine mengi unayoyajua.
3. Kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kuheshimiwa na kuthaminiwa na mume wako endapo utabahatika kumpata MUME (sio mvulana)
No offense dear but you are still a child. You will learn with time though. Best of luck!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna Mchungaji/Padre/pasta/Shekhe mwenye mamlaka ya KUBATILISHA ndoa.....ni serikali pekee kupitia mahakama.
Asante kwa elimu hii, wakati tunapata mafundisho ya ndoa kati ya vitu tulivyoambiwa ni kwamba endapo mwanaume hatoweza kufanya tendo la ndoa day one, basi unaweza toa taarifa pale ulipofunga ndoa kwa hatua zaidi. You are right, lakini lazima hatua zianzie kule ulipofunga ndoa.
 
1. Utakuwa umetii amri ya Mungu ile ya 6.
2. Utakuwa umepunguza chances za kupata magonjwa hatari yanayoambukizwa kwa njia ya ngono kama Ukimwi, cervical cancer na mengine mengi unayoyajua.
3. Kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kuheshimiwa na kuthaminiwa na mume wako endapo utabahatika kumpata MUME (sio mvulana)
1. Unaweza kutii amri ya 6 ya Mungu ila ukavunja zingne 9 zilizobaki

2. Magonjwa hayo hata kwenye ndoa unaweza kuyapata. Labda nikukumbushe tu kua sio kila aliyepata ukimwi alifanya uhuni dada so usiwajudge hvyo

3. Na kupendwa unaweza ukapendwa tena zaidi na mume. Kuna watu nmeshuhudia wameolewa tena na watoto kabisa ila wanapeeeendwa had wanasahau shida za dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwa Mangi kanywe soda nakuja kulipa. Lakini kama una mtoto wa kike, tafadhali mshauri ajitunze mpaka atakapoolewa. You will thank me one day
Asante... ninae...ila sijui kama bado anayo...machachari sana......
 
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU 😘 na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.


mi hata huyo mwenye bikra wa kuowa sitaki...wasumbufu mnooo
 
ni bora nikakutana na gube gube...linalijua mizungu yote akitulia ametulia...hao wenye bikra akifungulia lazima utaomba poo...
 
1. Unaweza kutii amri ya 6 ya Mungu ila ukavunja zingne 9 zilizobaki

2. Magonjwa hayo hata kwenye ndoa unaweza kuyapata. Labda nikukumbushe tu kua sio kila aliyepata ukimwi alifanya uhuni dada so usiwajudge hvyo

3. Na kupendwa unaweza ukapendwa tena zaidi na mume. Kuna watu nmeshuhudia wameolewa tena na watoto kabisa ila wanapeeeendwa had wanasahau shida za dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ciara [emoji7] Russell anavyompenda sasa hadi kamvisha pete ya $2M na ni single mother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
just imagine upo na bukra yako mpaka kwenye 30s halafu unaamua kuwa single maza...hapo lazima utalia sana kwa majuto na muda wote bikra ilivyokupotezea muda.... 😆 😆 😆 😆 😆 😆
 
Back
Top Bottom