Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwa Mangi kanywe soda nakuja kulipa. Lakini kama una mtoto wa kike, tafadhali mshauri ajitunze mpaka atakapoolewa. You will thank me one dayMwanamke ni yule yule....uwe umemtoa bikra au used....ni same woman......tuwapende tuu.
No offense dear but you are still a child. You will learn with time though. Best of luck!1. Utakuwa umetii amri ya Mungu ile ya 6.
2. Utakuwa umepunguza chances za kupata magonjwa hatari yanayoambukizwa kwa njia ya ngono kama Ukimwi, cervical cancer na mengine mengi unayoyajua.
3. Kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kuheshimiwa na kuthaminiwa na mume wako endapo utabahatika kumpata MUME (sio mvulana)
Jimbo lina mwenyewe. Alipita bila kupingwaDada, una mtu kwa sasa au kiti ki wazi?[emoji6]
Asante kwa elimu hii, wakati tunapata mafundisho ya ndoa kati ya vitu tulivyoambiwa ni kwamba endapo mwanaume hatoweza kufanya tendo la ndoa day one, basi unaweza toa taarifa pale ulipofunga ndoa kwa hatua zaidi. You are right, lakini lazima hatua zianzie kule ulipofunga ndoa.hakuna Mchungaji/Padre/pasta/Shekhe mwenye mamlaka ya KUBATILISHA ndoa.....ni serikali pekee kupitia mahakama.
Yes dear....Hahahaha, beauty is in the eyes of the beholder😍😍 have you ever heard of that saying darling?
Oh, I am not a child by the way. I am married and I have 3 children. Nina uzoefu wa kutosha na ukiona nimeongea hili NAMAANISHA.No offense dear but you are still a child. You will learn with time though. Best of luck!
Sent using Jamii Forums mobile app
age 21By the way, how old are you (if you don't mind)
1. Unaweza kutii amri ya 6 ya Mungu ila ukavunja zingne 9 zilizobaki1. Utakuwa umetii amri ya Mungu ile ya 6.
2. Utakuwa umepunguza chances za kupata magonjwa hatari yanayoambukizwa kwa njia ya ngono kama Ukimwi, cervical cancer na mengine mengi unayoyajua.
3. Kuna uwezekano mkubwa sana wa wewe kuheshimiwa na kuthaminiwa na mume wako endapo utabahatika kumpata MUME (sio mvulana)
Asante... ninae...ila sijui kama bado anayo...machachari sana......Nenda kwa Mangi kanywe soda nakuja kulipa. Lakini kama una mtoto wa kike, tafadhali mshauri ajitunze mpaka atakapoolewa. You will thank me one day
Maturity doesn't come with age it comes with experience. Give yourself time, you'll learnOh, I am not a child by the way. I am married and I have 3 children. Nina uzoefu wa kutosha na ukiona nimeongea hili NAMAANISHA.
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!
Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.
Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.
Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.
Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU 😘 na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.
Tchao.
Ciara [emoji7] Russell anavyompenda sasa hadi kamvisha pete ya $2M na ni single mother.1. Unaweza kutii amri ya 6 ya Mungu ila ukavunja zingne 9 zilizobaki
2. Magonjwa hayo hata kwenye ndoa unaweza kuyapata. Labda nikukumbushe tu kua sio kila aliyepata ukimwi alifanya uhuni dada so usiwajudge hvyo
3. Na kupendwa unaweza ukapendwa tena zaidi na mume. Kuna watu nmeshuhudia wameolewa tena na watoto kabisa ila wanapeeeendwa had wanasahau shida za dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
and youThank you.
mi hata huyo mwenye bikra wa kuowa sitaki...wasumbufu mnooo
hahaha hii dress code nitakuwa naivaa siku nayofanya mauaji.
Samahani Mkuu, yupo kwa age ngapi?!Asante... ninae...ila sijui kama bado anayo...machachari sana......