nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,814
- 4,781
Ndoa ni ya watu WAWILI pekee.....only two.....watatu ni sheitwani.......nyie wawili....nasema tena nyie wawili....ndio mtakaoamua mustakabali wenu..........only two....mke na mme.......kushirikisha watu wa nje ndio jeneza la ndoa yenu.....mkiona hamuwezi mkubaliane kutokukubaliana.Asante kwa elimu hii, wakati tunapata mafundisho ya ndoa kati ya vitu tulivyoambiwa ni kwamba endapo mwanaume hatoweza kufanya tendo la ndoa day one, basi unaweza toa taarifa pale ulipofunga ndoa kwa hatua zaidi. You are right, lakini lazima hatua zianzie kule ulipofunga ndoa.