USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU 😘 na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.
Kwa hiyo wewe ulitunza bikra yako kwa muda gani?
 
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU 😘 na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.
waovu watakushukia kama mwewe
 
Wenye bikra zenu muwe huru tuu kuzitoa wakat wowote mana najua walioolewa bikra na bado wanaishi sawa na wengine, Maumivu ya kuumizwa na aliekubikiri ni harari kwa afya.
Sio kweli. Kuna tofauti kubwa sana kuingia mahusiano ya ndoa ukiwa bikra na ukiwa haunayo..... Wewe unaesema hapo hajujaona huo ukweli na unasema yako imetolewa sasa umejuaje kuwa kuna shida?!

Mimi nimeona faida yake.....

Mwanaume anakuwa na heshima na wewe hata kama ataleta shida ila sio kwa kutakuwa na adabu fulani maana anajua yeye ni mwanaume aliyeanza na wewe na hauna history ya mahusiano kabla yake... Hiyo tayari inakupa nyota tano za heshima,,

Ukimpatia mtoto kama uzao wa wake wa kwanza kutoka kwako, hii inakupa cheo cha pili na mama wa watoto wangu tofauti na hawa kima ambao anaingia ndoani na watoto wa wanaume wengine, hapo anakuitaje sasa mama wa watoto wangu wawili na m'moja wa nje au?!

Ukiwa na bikra baada ya ndoa maana yake unaanza kupata experience ya migegedo ukiwa mke wa mtu halali na hautakuwa umechokonolewa huko chini na madudu tofauti tofauti.....

Niendelee au.....?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom