USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

Vituka hongera sana wewe ulibahatika lakini kwa jamii yetu hii iliyoparaganyika.. Watoto wengi hubikiriwa wangali hawajitambui na hawatambui umuhimu wa kujitunza usichana wao... Na wale wanaojitahidi kujitunza hujukuta wanageukia mchezo wa kulawitiwa... Ni USHAURI mzuri lakini sidhani kama utawafikia walengwa
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU [emoji8] na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.

Jr[emoji769]
 
Sio jukumu la mabinti na wadada tu hata vijana wakiume tunzeni ubikira wenu. Hamna haki yakutifuatifua huku mkihitaji ambao hawajatifuliwa.
 
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU 😘 na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.

Hongera Dada Vituka kwa ushuhuda mzuri. Kama utaweza hebu washauri wasichana jinsi ya kushinda ushawishi wa marafiki wanaoamini kwamba uzinzi ni "Life style" na Fashion na kwamba kujitunza ni maisha ya kizamani.

Ahsante
 
Waambieni na wanaume wafanye hivyo maana hakuna aneruhusiwa kufanya zinaa.
 
Hongera wewe ni mwanamke unae jitambua sana na imani Pia utakuwa mama bora kwa watoto wako
 
Yupo anaepinga humu, naomba nichapiee
Nipe jina lake nimfungie kazi. Kusema za ukweli binti akiyaanza basi matokeo yake yanavia. Hata awe kipanga namna gani, dushe likimuingia tu, A+ inatelemka na kuwa A- nani anapinga
 
Waambieni na wanaume wafanye hivyo maana hakuna aneruhusiwa kufanya zinaa.
Hakika nao pia wanastahili kufanya hivyo, lakini leo nimeanza na wasichana kwa maana madhara makubwa huwapata wao zaidi kuliko wanaume. Next time nitaongea na wakaka
 
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU [emoji8] na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.
Kwahiyo ndio umekuja kujisifia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU [emoji8] na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.
Unajisumbua umu ndani hakuna bikra hata moja labda za nyuma nazo nimashaka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipe jina lake nimfungie kazi. Kusema za ukweli binti akiyaanza basi matokeo yake yanavia. Hata awe kipanga namna gani, dushe likimuingia tu, A+ inatelemka na kuwa A- nani anapinga
Very true! Nilimlea mtoto wa kaka yangu, akiwa class 1-4 alikuwa akishika nafasi ya kwanza, alipoanza tu ngono akashuka mpaka 20 na kuendelea.
 
Back
Top Bottom