Ushauri: Watumishi wachanganywe na wasio watumishi kusimamia Sensa, 2022

Ushauri: Watumishi wachanganywe na wasio watumishi kusimamia Sensa, 2022

Akili za kiccm hizo Mtu una Kazi yako kwanini usitulie tu njaa zitawaua nyie watumishi mnaweledi gani?? Kila siku mnaiba pesa za Umma . Idiot Thoughts.
ueledi wa kazi muhimu sio kisa huna kazi.. una weza ukawa una kazi lakini haina ujila...

tuna hitaji ufanisi wa kazi... zoezi hili lita linganisha kazi iliyofanyika ktk anuani za makazi, pia itasaidia kujua kama wale wa anuani za makazi walifanya vyema au hawa wa sensa ndio wamefanya vyema...

na kama kuna nyumba/kaya ita rukwa au kuto hesabiwa basi ni rahisi kufahamu...
 
kuna wajumbe ambao wana ifahamu mitaa na watu wake ipasavyo... wana weza tembea na kutimiza jukumu... hata hivyo pale kutakapo kuwa na gap basi waongezwe wachache wanatakao faaa...
Unajua idadi ya watu wanaohijatika kufanya sensa ni wangapi!!!? unajua nchi yetu ina Kmsq ngap!!? ukishajua hilo ndo utapata jibu wajumbe watatakiwa watembee kilomita ngapi kuchukua data sio unaongea tu!!! na hizo nafasi unazozisemea itakuwa vicr versa tu
 
Akili za kiccm hizo Mtu una Kazi yako kwanini usitulie tu njaa zitawaua nyie watumishi mnaweledi gani?? Kila siku mnaiba pesa za Umma . Idiot Thoughts.
ccm ni nini? akili ni nini?

huna kazi? kwanini?

akili unayo ila kazi huna... ccm haina akili ila ina kazi...
 
Huyu Jamaa Hana Kitu kichwan naona umempa Fact then hii sensa inafanywa kidigitali na wajumbe wengi 90% hawajui kutumia kishikwambi
Unajua idadi ya watu wanaohijatika kufanya sensa ni wangapi!!!? unajua nchi yetu ina Kmsq ngap!!? ukishajua hilo ndo utapata jibu wajumbe watatakiwa watembee kilomita ngapi kuchukua data sio unaongea tu!!! na hizo nafasi unazozisemea itakuwa vicr versa tu
 
Unajua idadi ya watu wanaohijatika kufanya sensa ni wangapi!!!? unajua nchi yetu ina Kmsq ngap!!? ukishajua hilo ndo utapata jibu wajumbe watatakiwa watembee kilomita ngapi kuchukua data sio unaongea tu!!! na hizo nafasi unazozisemea itakuwa vicr versa tu
una fahama kitongoji kina idadi ya kaya ngapi? na wajumbe wangapi ukiondoa mabalozi?

jifunze kwanza kujua mamabo ya tamisemi... sababu hujui kuwa ktk zoezi hili huko mtaani utaongozwa na balozi, wajumbe, watendaji... hujui kabisa hata hili... una zani utajikurupukia na kwenda katika mlango wa mtu na kuhesabu kisa umevaa visibility ya sensa na kitambulisho cha karani?
 
ccm ni nini? akili ni nini?

huna kazi? kwanini?

akili unayo ila kazi huna... ccm haina akili ila ina kazi...
Mkuu hii Kazi hupati kwanza hauna vyeti sasa unafikiri utapataje kuwa mjumbe wa Nyumba kumi sio kigezo Cha kushriki sensa
 
Huyu Jamaa Hana Kitu kichwan naona umempa Fact then hii sensa inafanywa kidigitali na wajumbe wengi 90% hawajui kutumia kishikwambi
shida kwenye maswala ya muhimu kama haya hatutaki kuelezana ukweli wenyewe wameweka vigezo wakiwa na sababu zao sasa wewe unakuja kosoa kisa tu kwa mtazamo wako binafsi
 
Huyu Jamaa Hana Kitu kichwan naona umempa Fact then hii sensa inafanywa kidigitali na wajumbe wengi 90% hawajui kutumia kishikwambi
kama wewe mwenye kitu kichwani hujui kuwa kuna mafunzo elekezi, na kutumia kishikwambi sio jambo pekee...
 
Hakuna Mjumbe atakayeshiriki huu mchakato mtu hajui kusoma Wala kuandika then unataka afanye vipi Kaz ?
una fahama kitongoji kina idadi ya kaya ngapi? na wajumbe wangapi ukiondoa mabalozi?

jifunze kwanza kujua mamabo ya tamisemi... sababu hujui kuwa ktk zoezi hili huko mtaani utaongozwa na balozi, wajumbe, watendaji... hujui kabisa hata hili... una zani utajikurupukia na kwenda katika mlango wa mtu na kuhesabu kisa umevaa visibility ya sensa na kitambulisho cha karani?
 
una fahama kitongoji kina idadi ya kaya ngapi? na wajumbe wangapi ukiondoa mabalozi?

jifunze kwanza kujua mamabo ya tamisemi... sababu hujui kuwa ktk zoezi hili huko mtaani utaongozwa na balozi, wajumbe, watendaji... hujui kabisa hata hili... una zani utajikurupukia na kwenda katika mlango wa mtu na kuhesabu kisa umevaa visibility ya sensa na kitambulisho cha karani?
mjumbe ataongoza kama vile mtambulishaji wa wahusika wa zoezi na sio kama unavyofikiria wewe na pia nadhani nimeshakupa majibu stahiki
 
Sasa kamisaa kashahitimisha wanaohitajika sio wajumbe na mabalozi
wanao hitajika watapatikana... japo kuna kufoji taarifa vya kutosha... vijana wamefoji taarifa ipasavyo...

na kwakuwa zoezi la usaili lina simamiwa na wilaya pamoja na kata husika... hivyo watumishi huwa ni kipaumbele na nafasi zinazo bakia ni kwa wanao fahamiana

zingatia hiki kibwagizo
 
Hakuna Mjumbe atakayeshiriki huu mchakato mtu hajui kusoma Wala kuandika then unataka afanye vipi Kaz ?
kama uta bahatika au watakao bahatika wataleta mrejesho hapa... kama wewe ulivyo leta mrejesho wa wazazi wako kushindwa kuwa hudumia wazee wao (babu zako)
 
mjumbe ataongoza kama vile mtambulishaji wa wahusika wa zoezi na sio kama unavyofikiria wewe na pia nadhani nimeshakupa majibu stahiki
ana ongoza lakini hawezi tembea 3km sio...? una weza ifanya hii 3km tupate ujazo wa eneo? tukimaliza tupate idadi ya nyumba? alafu nikupe swali la mwisho wewe msomi...
 
Back
Top Bottom