Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
wanao hitajika watapatikana... japo kuna kufoji taarifa vya kutosha... vijana wamefoji taarifa ipasavyo...
na kwakuwa zoezi la usaili lina simamiwa na wilaya pamoja na kata husika... hivyo watumishi huwa ni kipaumbele na nafasi zinazo bakia ni kwa wanao fahamiana
zingatia hiki kibwa
Sidhani kama kutakuwa na shida kama watumishi watakuwepo ili mradi zoezi liende kama lilivyopangwa na kwa faida ya wananchi wote kuliko kwa kuzingatia mahitaji ya watu wachache (Mtazamo ulionao)wanao hitajika watapatikana... japo kuna kufoji taarifa vya kutosha... vijana wamefoji taarifa ipasavyo...
na kwakuwa zoezi la usaili lina simamiwa na wilaya pamoja na kata husika... hivyo watumishi huwa ni kipaumbele na nafasi zinazo bakia ni kwa wanao fahamiana
zingatia hiki kibwagizo