Ushauri wenu hapa kabla sijaingia miguu yote.

Ushauri wenu hapa kabla sijaingia miguu yote.

Akili ya kubeti

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
417
Reaction score
636
Kuna hii investment wanaiita Pepsi vipi apa, Risk takers naweza kuweka mzigo au ndo ya Kalyanda..!
IMG-20240211-WA0159.jpg
 
Ukiitiwa Fursa Ujue Wewe Mwenyewe Ndiyo Fursa



Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu, Tuchape Kazi Tukimtanguliza Mungu Mbele
By Jiwe
 
🤣🤣🤣🤣 Hivi ujenzi wa shule za Kata wote huu, bado hatujaamka tu.....tunaikatisha serikali yetu tamaa Kwa kweli.

Kwa kutumia elimu ya mtaa....hamna cha bure duniani....hiyo elfu 30 wao wanaifanyia nini hadi wakupe wewe faida yote hiyo? Ukibisha ingia mwenyewe na elf 30 yako mtaani uone Kama utapata faida kirahisi....kimbiaaaa.
 
Hiyo umeshachelewa ukiweka mpunga sasa hivi uwezekano wakuliwa ni 99.9999%
 
🤣🤣🤣🤣 Hivi ujenzi wa shule za Kata wote huu, bado hatujaamka tu.....tunaikatisha serikali yetu tamaa Kwa kweli.

Kwa kutumia elimu ya mtaa....hamna cha bure duniani....hiyo elfu 30 wao wanaifanyia nini hadi wakupe wewe faida yote hiyo? Ukibisha ingia mwenyewe na elf 30 yako mtaani uone Kama utapata faida kirahisi....kimbiaaaa.
Interesting
 
Ukiangalia vizuri hiyo Pyramid uwezekano wa kufikia mahala isambatatike ni 95% kwa hiyo unaweza kuweka hela ambazo ukipoteza hazitakuumiza sana kichwa
(Invest what you can afford to loose)
 
Ukiangalia vizuri hiyo Pyramid uwezekano wa kufikia mahala isambatatike ni 95% kwa hiyo unaweza kuweka hela ambazo ukipoteza hazitakuumiza sana kichwa
(Invest what you can afford to loose)
Shukran.
 
Cheze mwenyewe sina pesa za kuwapa matapeli mimi
Kila mtu apambane na hali yake
 
Back
Top Bottom