mwmbeki
Member
- Apr 8, 2017
- 91
- 124
Ndugu wapendwa mimi ni mwalimu wa shule moja ya secondary hapa arusha, yapata mwaka mmoja sasa tangu niajiliwe shuleni hapo January 2017 baada ya kumaliza shaada yangu ya elimu august 2016.
Kulingana na ugumu wa ajira nilikubali anilipe mshaara mdogo tu Tsh 200000tu, tulifanya kazi vizuri nikiwà kama Mtaaluma wake cheo alichonipatia mapema baada ya kuanza kazi, lakin hakuwai kunipa mkataba wala barua ya maangalizi(probation letter). hii ni kwa wafanyakazi wake wote.
Mishahara yake kwa watumishi imekuwa ni ya kusuasua sana..ilipofika mwezi wa saba 2017 ikakwama kabisa..kwa hiyo watumishi wake wameishi bila mishahara tangu mwezi wa saba mwaka jana 2017.
Mimi wa mwezi wa saba nilibahatika kupata na ndo ulikuwa wa mwisho hadi namaliza mwaka lkn alihaid atatoa pesa zote January 2018 baada ya wanafunzi kufungua na kusema amekwama japo sababu za kukwama zilikuwa hazijulikani.
Mimi nimemwambia sitaendelea na kazi hivyo anipatie pesa yangu yote naona anataka kuleta chenga
kibaya zaidi ana chuo cha kitapeli hapo hapo shuleni kwake,anaajili walimu waliofeli form four ndo wafundishe secondary na chuo,yeye mwenyewe hana taaluma yoyote lkn ndo director na ndo mkuu wa shule yaan anaendesha tasisi kitapeli tapeli na ana mapungufu mengi sana,na shule yake haistahili kuwa hata kituo cha tuition
Pamoja na kutokuwepo kwa mkataba lkn nilikuwa nasain kwenye daftar LA maadhulio ya walim kila siku,nilikuwa nasain kwenye class journal kila baada ya kufundisha.
Nimfanyeje ??
Kulingana na ugumu wa ajira nilikubali anilipe mshaara mdogo tu Tsh 200000tu, tulifanya kazi vizuri nikiwà kama Mtaaluma wake cheo alichonipatia mapema baada ya kuanza kazi, lakin hakuwai kunipa mkataba wala barua ya maangalizi(probation letter). hii ni kwa wafanyakazi wake wote.
Mishahara yake kwa watumishi imekuwa ni ya kusuasua sana..ilipofika mwezi wa saba 2017 ikakwama kabisa..kwa hiyo watumishi wake wameishi bila mishahara tangu mwezi wa saba mwaka jana 2017.
Mimi wa mwezi wa saba nilibahatika kupata na ndo ulikuwa wa mwisho hadi namaliza mwaka lkn alihaid atatoa pesa zote January 2018 baada ya wanafunzi kufungua na kusema amekwama japo sababu za kukwama zilikuwa hazijulikani.
Mimi nimemwambia sitaendelea na kazi hivyo anipatie pesa yangu yote naona anataka kuleta chenga
kibaya zaidi ana chuo cha kitapeli hapo hapo shuleni kwake,anaajili walimu waliofeli form four ndo wafundishe secondary na chuo,yeye mwenyewe hana taaluma yoyote lkn ndo director na ndo mkuu wa shule yaan anaendesha tasisi kitapeli tapeli na ana mapungufu mengi sana,na shule yake haistahili kuwa hata kituo cha tuition
Pamoja na kutokuwepo kwa mkataba lkn nilikuwa nasain kwenye daftar LA maadhulio ya walim kila siku,nilikuwa nasain kwenye class journal kila baada ya kufundisha.
Nimfanyeje ??