Ushauri wenu wakuu sijui nineuwaa!!!

Ushauri wenu wakuu sijui nineuwaa!!!

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Ni hivi wakuu nimerudi nikakuta beki 3 ameendaa maji ya kumwogesha mtoto!! Sasa ile amemwagia maji mgongoni yale maji yalivyo ya baridi amezimia!!nikajikuta na mimi nimemzaba kofi yule beki 3 nae chali chini kazimia! Sasa niko kwenye njiapanda sijui nikimbie!!
 
Una mkono mwepesi!!! Naona ningemwahi mwanangu kwanza kumtaftia huduma ya kwanza kisha nitamwelekeza jinsi ya kupoleza maji maybe amepitiwa nawaza ukapata Na mda wa kupost huku eh mna mioyo yenu buanah!
 
Mkuu nilipatwa na mshtuko baada ya kuona mtoto chini ile kumuuliza beki 3 umefanya nini?? Hapohapo kumbe nilipeleka na kofi!! Sasa nashindwa nianzie wapi au nilale mbele liwalo na liwe!!
 
Mkuu nilipatwa na mshtuko baada ya kuona mtoto chini ile kumuuliza beki 3 umefanya nini?? Hapohapo kumbe nilipeleka na kofi!! Sasa nashindwa nianzie wapi au nilale mbele liwalo na liwe!!
Wacha kutunga wewe, mbona unajichanganya? maji ya baridi mgongoni mtoto azimie? nasikia leo.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Mkuu nilipatwa na mshtuko baada ya kuona mtoto chini ile kumuuliza beki 3 umefanya nini?? Hapohapo kumbe nilipeleka na kofi!! Sasa nashindwa nianzie wapi au nilale mbele liwalo na liwe!!
INA MAANA HADI MUDA HUO UNAPOST MARA YA PILI BADO TU HUJA JUA UZIMA WA MWANAO? KWELI WEWE MUUAJI.JIPELEKE JELA BILA KUHUKUMIWA
 
Mkuu nilipatwa na mshtuko baada ya kuona mtoto chini ile kumuuliza beki 3 umefanya nini?? Hapohapo kumbe nilipeleka na kofi!! Sasa nashindwa nianzie wapi au nilale mbele liwalo na liwe!!
Una umri gani wewe wa Stendi? Naona mada zako zimekaa Kifesibuku fesibuku tu!!
 
Beki tatu wako alichukua maji kwenye friji? Mama mzuri huogesha mtoto wake mwenyewe. Jitahidi uwe inamuogesha mtoto wako.
 
Mkuu nilipatwa na mshtuko baada ya kuona mtoto chini ile kumuuliza beki 3 umefanya nini?? Hapohapo kumbe nilipeleka na kofi!! Sasa nashindwa nianzie wapi au nilale mbele liwalo na liwe!!
Chai..
 
Ondoka hapo njia panda!!
Kimbilia njia shuka!!
 
Back
Top Bottom