Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Sasa watoto wanaokosa madarasa?Mimi naona tungegawana tu hizo hela baada ya kuuza hilo dreamliner lao!! 😇 Au mnaonaje ndugu zangu!!!
Maana mtaani kwenyewe huku hata hakusomeki!!
Hao watajua wenyewe bhana! Kwanza watoto wenyewe wanalazimishwa tu kusoma hiyo elimu ya kukaririshana.Sasa watoto wanaokosa madarasa?
Umenena vizuri.Hao watajua wenyewe bhana! Kwanza watoto wenyewe wanalazimishwa tu kusoma hiyo elimu ya kukaririshana.
Serikali wakiambiwa kujenga vyuo vya Veta, hawataki! Wao wamekomaa na elimu ya sekondari na ambayo mwisho wa siku inatuzalishia tu idadi kubwa ya madereva wa bodaboda.
Hoja mujarabu kabisa hatuwezi kuwa na Madege yaliyopaki huku hatuna shule bora za kutoshaNchi yetu ina upungufu mkubwa sana wa vyumba vya madarasa na shule. Maana wanafunzi wengi huwa wanakosa masomo sababu ya kukosa madarasa ya kusomea au shule kuwa mbali na maeneo wanayoishi.
Kuliko serikali kukopa pesa World Bank na kuzitumia kujenga madarasa na shule. Bora Dreamliner tulilonunua kwa bilioni 520 za kitanzania liuzwe na pesa itakayopatikana itumike kujenge madarasa na shule.
Lile bado linalipa halijatumika sana.Shida utamuuzia nani maana ile ni kama condom iliotumika ukishanunua /tumia ni yako hiyo
Tutawashikisha fly Emirates watupe nusu halafu zinazobakia kidogo kidogoShida utamuuzia nani maana ile ni kama condom iliotumika ukishanunua /tumia ni yako hiyo
Bora kuliko midege kupaki na kuwa makazi ya njiwaTutawashikisha fly Emirates watupe nusu halafu zinazobakia kidogo kidogo
Hata kama lishaonekana used na ile kampuni ishaingizwa kwenye lawama kwa ubovuLile bado linalipa halijatumika sana.
Labda hivyo sio mbayaTutawashikisha fly Emirates watupe nusu halafu zinazobakia kidogo kidogo
Mkuu yaendelee kupaki? Bora tuuze tu na pesa ijenge shule.Hata kama lishaonekana used na ile kampuni ishaingizwa kwenye lawama kwa ubovu
Hivi hao Emirates kwa uzoefu wa madege walionao, unaanzaje kuwashikisha dege lisiloeleweka?Tutawashikisha fly Emirates watupe nusu halafu zinazobakia kidogo kidogo
Kisha mtaacha kuzaa ili sasa pesa itayopatika ifanya mambo mengine?Nchi yetu ina upungufu mkubwa sana wa vyumba vya madarasa na shule. Maana wanafunzi wengi huwa wanakosa masomo sababu ya kukosa madarasa ya kusomea au shule kuwa mbali na maeneo wanayoishi.
Kuliko serikali kukopa pesa World Bank na kuzitumia kujenga madarasa na shule. Bora Dreamliner tulilonunua kwa bilioni 520 za kitanzania liuzwe na pesa itakayopatikana itumike kujenge madarasa na shule.
Hauna akili wewe utauza hata makochi ya ndani mwako ukiishiwa. Baada ya kushauri hela zitafutwe unashauri vitu viuzwe.Nchi yetu ina upungufu mkubwa sana wa vyumba vya madarasa na shule. Maana wanafunzi wengi huwa wanakosa masomo sababu ya kukosa madarasa ya kusomea au shule kuwa mbali na maeneo wanayoishi.
Kuliko serikali kukopa pesa World Bank na kuzitumia kujenga madarasa na shule. Bora Dreamliner tulilonunua kwa bilioni 520 za kitanzania liuzwe na pesa itakayopatikana itumike kujenge madarasa na shule.
Mbona wewe ndiye huna akili?Hau
Hauna akili wewe utauza hata makochi ya ndani mwako ukiishiwa. Baada ya kushauri hela zitafutwe unashauri vitu viuzwe.