naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Hayo mengine kawaida ila alichoandika huyu jamaa kwa mwanaume ukikubal utaendeshwa!trust me wanawake huwa wanapima msimamo wako kwa kisingizio cha mimba ukipotea step ndio inakua utaratibu wa maisha unasifiwa una care kumbe ubushokeHakuna ubwege hata chembe. Mimba zinaweza kudai mambo ya ajabu kweli na usipokuwa makini unaweza kuachana lakini kwa waelewa wanajua ni mambo ya mpito tu.
Unaweza kuambiwa naomba shati lako ulilovaa sana asifue awe aninusa tu na anaridhika tu.