jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Serikali ianze mchakato wa kupanua barabara ya Kilwa kwa njia nne kutoka Mbagala mpaka Mkuranga.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuri ila Kisarawe nayo imekaa vibaya ingawa na Mkoa mzima wa Pwani umekaa vibaya😆😆😆 mkuu geographia yako bado haijakaa sawa
Unapoepeleka Kigamboni Pwani ni makosaa
Iyo kigamboni unayoisema iende pwani ni kigambon hii hii au ipo nyingine ?
Kigamboni hihii ya ferry mpaka kibada pale kuna short cut ya kutokea Kijichi mtoni, ambako ni DSM
Suluhisho hapa ni kuanzisha mkoa mpyaaa utakaojumuisha wilaya za rufiji, mkuranga , kibiti, mafia hapo ndipo binafsi naona ni solution ila sio.kuichukua kigamboni kuipeleka pwani
Idadi kubwa ya watu pia ni uchumiWhy mnazaana kama simbilisi?,why uzae mitoto mingi wakati huna uwezo wa kuwatunza?,middle class wa Botswana wapo very educated, they're making a lot of sex ILA hawazai!,itawachukua miaka 30 kufikia idadi ya wakazi wa Dar pekee!,Tswanas &others wapo less than 3M,nchi ya kufikirika wanakimbilia 70M, umasikini mtupu
Haujakaa vibaya hilo eneo mnaloita Dar es Salaam ndio ulikuwa makao makuu ya Mkoa hivyo kukatwa eneo la kati kati liliendeleaWazo zuri ila Kisarawe nayo imekaa vibaya ingawa na Mkoa mzima wa Pwani umekaa vibaya
Hao watoto wengi kumbuka ukijumlisha wote kwa pamoja, kila mtu anazaa wa kwake kwasababu hata wakizaliwa watoto mia kwa siku kama hakuna wa kwako bado hakuna wa kwako na wewe utazawa kwako.Why mnazaana kama simbilisi?,why uzae mitoto mingi wakati huna uwezo wa kuwatunza?,middle class wa Botswana wapo very educated, they're making a lot of sex ILA hawazai!,itawachukua miaka 30 kufikia idadi ya wakazi wa Dar pekee!,Tswanas &others wapo less than 3M,nchi ya kufikirika wanakimbilia 70M, umasikini mtupu
Kama hii ndio kipimo cha thinking capacity ya working class ni shida,President ameshatoa with punguza kuzaliana!!,but it's to late already, horse boltedHao watoto wengi kumbuka ukijumlisha wote kwa pamoja, kila mtu anazaa wa kwake kwasababu hata wakizaliwa watoto mia kwa siku kama hakuna wa kwako bado hakuna wa kwako na wewe utazawa kwako.
Kuza sio tatizo kabisa. Tena kuzaa kunafariji maana watu wanakufa kuzaa ndio faraja, ishu ni kuzaa kwa kadri unavyoweza kulea ila sio kuacha kuzaa
Huyu alisomea Cuba hajui jiografia ya TanzaniaKipindi nakua mji ulikuwa mwisho ubungo, pale lilipo jengo la Tanesco ndio ulikuwa mzani wa kupima malori ambao sasa uko mkoa wa Pwani, Dar inakuwa kuelekea kaskazini,npaka wa Dar na kibaha unafutika, mpaka wa Dar, Bagamoyo unafutika kwa kasi sababu ya ujenzi unaokuwa kwa kasi ya ajabu.
Jiografia ya mkoa wa Pwani inashangaza sana, mtu wa Bagamoyo akitaka kwenda Rufijii au mafia lazima apitie Dar au apande chombo cha baharini. Ushauri wangu
Hizi wilaya mbili Kibaha na Bagamoyo zije Dar, ili kubalance mapato na uchumi wa mkoa wa Pwani Kigamboni na Mbagala yote iende Pwani,waungane na Mkuranga,Kisarawe, Mafia Kibiti na Rufiji.
Faida zake:
Jiji la Dar eS Salaam litapumua kwa kupata ardhi ya kutosha na kukua kwa kasi ya ajabu kibaha itakuwa kama urusi kwa technology na viwanda na Bagamoyo zitakuwa kama ukraine kwa utalii, pata picha chalinze iwe ni sehemu ya Dar es Salaam.
Tuje Pwani sasa.
Pwani kwa kupewa Kigamboni na Mbagala itachangamka sana, tatizo la Pwani ni kukosa amsha amsha. Mbagala itakuwa Dubai mpya kwa biashara mpaka sasa Mbagala inazidi baadhi ya mikoa kwa idadi ya watu na amsha amsha ya kibiashara njoo Mbagala kuanzia saa kumi jioni mpaka saa nne usiku hutaamini macho yako kila aina ya biashara utaikuta .pata picha Mbagala iko Pwani na na sehemu ya Kigamboni itakuwa Paris au Spain sehemu za kula bata kwenye fukwe.
Bandari ibaki Dar.Wakazi wengi wa Mbagala wana asili ya Pwani au Kusini mwa Tanzania, watafurahi kurudi nyumbani kwa style nyingine.
Chawa wa mama mfikishieni hii
Swali linabaki,ukizingatia idadi ndogo ya watu na hali za watu,uchumi wa mkoa huu utabebwa na wilayavipi hapo? Lakini ni wazo zuri,changamoto na fursa kwa pamoja.Nashauri bagamoyo na kibahana kisarawe ziletwe dar
Kigamboni na mbagala zibaki dar
Mkoa wa wa pwani ubaki na rufiji, kibiti, mafia na wamege part of lindi
Yaani umetoa mfano sahihi. Mtu yupo radhi akaishi Chanika au Mabwepande lakini asiishi Mipeko ambayo ipo Mkuranga, Kisarawe mjini au Kiluvya Makurunge.Yani bora mtu aishi chanika kuliko kisarawe au mkuranga..ingawa umbali uko sawa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maeneo ya Mkuranga na Kisarawe yana shida gani? Mtujuze na sisi wa huku Katavi.Yaani umetoa mfano sahihi. Mtu yupo radhi akaishi Chanika au Mabwepande lakini asiishi Mipeko ambayo ipo Mkuranga, Kisarawe mjini au Kiluvya Makurunge.
Mbagala ni Taarifa. Pia ni jimbo la Uchaguzi kama ilivyo tarafa ya Ukonga, SegereaHalafu Mbagala sio kata ilikuwa tarafa na Sasa ni Jimbo la uchaguzi.
Kata ya Chamazi Ina wakazi wengi zaidi kuliko kata yoyote Yaa jiji la Dar es salaam
Hivi Mbagala unapaona mbali sana kutokea Dar City center?chalinze, Kibaha, Bagamoyo, Ruvu na Wami hao wote wawe Dar es salaam..
Mbagala,Mkuranga, Kisarawe, rufiji, Kibiti, Kilwa Iwe Pwani makao makuu Mkuranga..
Kisarawe labda zichukuliwe kata ya Kisarawe, Msimbu na Kiluvya. Na Kibaha iishie Ruvu & Mlandizi.Kibaha na bagamoyo zinapswa liwa dar
Na kisarawe.