Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Serikali ianze mchakato wa kupanua barabara ya Kilwa kwa njia nne kutoka Mbagala mpaka Mkuranga.

#MaendeleoHayanaChama
 
😆😆😆 mkuu geographia yako bado haijakaa sawa

Unapoepeleka Kigamboni Pwani ni makosaa
Iyo kigamboni unayoisema iende pwani ni kigambon hii hii au ipo nyingine ?

Kigamboni hihii ya ferry mpaka kibada pale kuna short cut ya kutokea Kijichi mtoni, ambako ni DSM

Suluhisho hapa ni kuanzisha mkoa mpyaaa utakaojumuisha wilaya za rufiji, mkuranga , kibiti, mafia hapo ndipo binafsi naona ni solution ila sio.kuichukua kigamboni kuipeleka pwani
Wazo zuri ila Kisarawe nayo imekaa vibaya ingawa na Mkoa mzima wa Pwani umekaa vibaya
 
Why mnazaana kama simbilisi?,why uzae mitoto mingi wakati huna uwezo wa kuwatunza?,middle class wa Botswana wapo very educated, they're making a lot of sex ILA hawazai!,itawachukua miaka 30 kufikia idadi ya wakazi wa Dar pekee!,Tswanas &others wapo less than 3M,nchi ya kufikirika wanakimbilia 70M, umasikini mtupu
Idadi kubwa ya watu pia ni uchumi
Kalaghabhao
 
Wazo zuri ila Kisarawe nayo imekaa vibaya ingawa na Mkoa mzima wa Pwani umekaa vibaya
Haujakaa vibaya hilo eneo mnaloita Dar es Salaam ndio ulikuwa makao makuu ya Mkoa hivyo kukatwa eneo la kati kati liliendelea
 
Why mnazaana kama simbilisi?,why uzae mitoto mingi wakati huna uwezo wa kuwatunza?,middle class wa Botswana wapo very educated, they're making a lot of sex ILA hawazai!,itawachukua miaka 30 kufikia idadi ya wakazi wa Dar pekee!,Tswanas &others wapo less than 3M,nchi ya kufikirika wanakimbilia 70M, umasikini mtupu
Hao watoto wengi kumbuka ukijumlisha wote kwa pamoja, kila mtu anazaa wa kwake kwasababu hata wakizaliwa watoto mia kwa siku kama hakuna wa kwako bado hakuna wa kwako na wewe utazawa kwako.

Kuza sio tatizo kabisa. Tena kuzaa kunafariji maana watu wanakufa kuzaa ndio faraja, ishu ni kuzaa kwa kadri unavyoweza kulea ila sio kuacha kuzaa
 
Hao watoto wengi kumbuka ukijumlisha wote kwa pamoja, kila mtu anazaa wa kwake kwasababu hata wakizaliwa watoto mia kwa siku kama hakuna wa kwako bado hakuna wa kwako na wewe utazawa kwako.

Kuza sio tatizo kabisa. Tena kuzaa kunafariji maana watu wanakufa kuzaa ndio faraja, ishu ni kuzaa kwa kadri unavyoweza kulea ila sio kuacha kuzaa
Kama hii ndio kipimo cha thinking capacity ya working class ni shida,President ameshatoa with punguza kuzaliana!!,but it's to late already, horse bolted
 
Kama mapinga na kerege na zinga uwezi kuzitofautisha na dar mfano Bunju na Tegeta.
Naunga mkono baadhi ya maeneo yasogezwe dar kama sio wilaya nzima.
Ukipata kiwanja maeneo hayo usikiache
 
Kipindi nakua mji ulikuwa mwisho ubungo, pale lilipo jengo la Tanesco ndio ulikuwa mzani wa kupima malori ambao sasa uko mkoa wa Pwani, Dar inakuwa kuelekea kaskazini,npaka wa Dar na kibaha unafutika, mpaka wa Dar, Bagamoyo unafutika kwa kasi sababu ya ujenzi unaokuwa kwa kasi ya ajabu.

Jiografia ya mkoa wa Pwani inashangaza sana, mtu wa Bagamoyo akitaka kwenda Rufijii au mafia lazima apitie Dar au apande chombo cha baharini. Ushauri wangu

Hizi wilaya mbili Kibaha na Bagamoyo zije Dar, ili kubalance mapato na uchumi wa mkoa wa Pwani Kigamboni na Mbagala yote iende Pwani,waungane na Mkuranga,Kisarawe, Mafia Kibiti na Rufiji.

Faida zake:

Jiji la Dar eS Salaam litapumua kwa kupata ardhi ya kutosha na kukua kwa kasi ya ajabu kibaha itakuwa kama urusi kwa technology na viwanda na Bagamoyo zitakuwa kama ukraine kwa utalii, pata picha chalinze iwe ni sehemu ya Dar es Salaam.

Tuje Pwani sasa.

Pwani kwa kupewa Kigamboni na Mbagala itachangamka sana, tatizo la Pwani ni kukosa amsha amsha. Mbagala itakuwa Dubai mpya kwa biashara mpaka sasa Mbagala inazidi baadhi ya mikoa kwa idadi ya watu na amsha amsha ya kibiashara njoo Mbagala kuanzia saa kumi jioni mpaka saa nne usiku hutaamini macho yako kila aina ya biashara utaikuta .pata picha Mbagala iko Pwani na na sehemu ya Kigamboni itakuwa Paris au Spain sehemu za kula bata kwenye fukwe.

Bandari ibaki Dar.Wakazi wengi wa Mbagala wana asili ya Pwani au Kusini mwa Tanzania, watafurahi kurudi nyumbani kwa style nyingine.
Chawa wa mama mfikishieni hii
Huyu alisomea Cuba hajui jiografia ya Tanzania
 
Nashauri bagamoyo na kibahana kisarawe ziletwe dar

Kigamboni na mbagala zibaki dar

Mkoa wa wa pwani ubaki na rufiji, kibiti, mafia na wamege part of lindi
Swali linabaki,ukizingatia idadi ndogo ya watu na hali za watu,uchumi wa mkoa huu utabebwa na wilayavipi hapo? Lakini ni wazo zuri,changamoto na fursa kwa pamoja.
 
Yaani umetoa mfano sahihi. Mtu yupo radhi akaishi Chanika au Mabwepande lakini asiishi Mipeko ambayo ipo Mkuranga, Kisarawe mjini au Kiluvya Makurunge.
Haya maeneo ya Mkuranga na Kisarawe yana shida gani? Mtujuze na sisi wa huku Katavi.
 
Halafu Mbagala sio kata ilikuwa tarafa na Sasa ni Jimbo la uchaguzi.
Kata ya Chamazi Ina wakazi wengi zaidi kuliko kata yoyote Yaa jiji la Dar es salaam
Mbagala ni Taarifa. Pia ni jimbo la Uchaguzi kama ilivyo tarafa ya Ukonga, Segerea
chalinze, Kibaha, Bagamoyo, Ruvu na Wami hao wote wawe Dar es salaam..

Mbagala,Mkuranga, Kisarawe, rufiji, Kibiti, Kilwa Iwe Pwani makao makuu Mkuranga..
Hivi Mbagala unapaona mbali sana kutokea Dar City center?
 
Back
Top Bottom