Jamaa Ni mtu POA Sana[emoji4]Shetan mbona tunatembea nao na kukutana nao daily...
Unadhan shetani yuko mbali na wewe basiii
Sema ndo hvo inabidi upate mbinu za kumkwepa...
Ila Iblis Bin Shetan huyu hana baya
Madhara yake madogo sana kwa nilivyomsoma
Analipiwa mahari kimjiniUmeona eeeh[emoji4]
Utakua mama angu wa kufikia kabisa binamu[emoji2]
Ila Shetani hana Ubaya labda unitajie wewe Ubaya wake ni upi ukiacha propaganda za watu kutenda maovu kuwa mawazo yako yanakutuma unafanya mabaya halafu unasema shetani wakati hata siku moja hujamuonaHivi utajiitaje Iblis Bin Shetani kama wewe sio wa Shetani?Ni wazi you belong to Satan! Kila jina au nembo ina maana, haitoki hewani.
Kha shetana natesekaje wakati nyumba ya pili kuna mwanaume??Kumbe wapo anza na hao wakishindwa kukusaidia wee waibie tu nakuhakikishia hutapata dhambi ukiwaibia hao
Uwiiiii nakuogopa binamHa ha ha ...
Bwana Pepsi anakupasua kabisa.
Kuna wezi wang flani walihusika kunivunjia duka, mmojawapo nilimjua ndo alowakodisha majambaz wale pikpik wakaibe dukan kwangu.
Nlichokifanya sikwenda polisi Wala Nini, niliacha siku kadhaa zikapita nilikwenda kwake usku na petroli nikamchomea Gari yake moto. Ikateketea mpk majivu
Na mpk leo hajui Kama Ni Mimi nilimfanyia vile.
Malipo Ni hapa hapa duniani[emoji4]
Na wakaitwa wababa wa imani kumbukaaWafalme was imani walizini Sana na hwakufanywa chochote na mungu.
Zaid Zaid waliongezewa mibaraka tele Kama kina daudi,Suleiman na ibrahimu[emoji4]
Me napenda kujaliwa na sio kutongozwa hovyo maana hata mateja wanatongozaNaam kuna dada mmoja aliwahi kunifata analalamika hajatongozwa miezi 6 na anajua aliyemfanyia ni mwenzake ambaye wanashare bwana mmoja ila hajawaoa ili hali amewazalisha wote
Anajua huyo ndio kamtumia huyo jini akanifata nimshauri nikampa ushauri akasomewe na shehe maana alikuwa muislam nikagundua kumbe wanawake mnapenda kutongozwa
I pity herNi Bora hata Angelikua na akili Iyo ya kuwekeza basi.
Akili yake inawaza starehe TU, kwenda kwenye matamasha,kula kulala and nothing's else[emoji4]
Sasa ulivuruga mipango yao yakuoana huyo mchepuko utamuoa wewe?
Binadamu utamteteaje Shetani,unless you tell me you are not human,maana JF nako mm kuna mambo,majini yamo humu humu.Ila Shetani hana Ubaya labda unitajie wewe Ubaya wake ni upi ukiacha propaganda za watu kutenda maovu kuwa mawazo yako yanakutuma unafanya mabaya halafu unasema shetani wakati hata siku moja hujamuona
Hata usiniogope binamu,Uwiiiii nakuogopa binam
Si ni ndugu tutakutana tuuHa ha ha....
Ebu mtafute kwanza ujue kakumbwa na maswahibu gani uko[emoji4]
WiFi mwaka huu tumepata..Yaani hicho ndio kitu Cha kusikitisha zaidi......Ila akili za kike si unazijua?ukute utundu wote huu kisa tu ana compet na mwenzie aonekane anajua kuliko mke....ukute angeolewa kabisa angerelax zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Mathanzua hua anakusingizia mambo mengi sana Tena anakuamzishia Hadi nyuzi kukuponda kua una mpango wa kuivuruga Dunia na umelaaniwa na Mungu mimi hua najipa Kazi kukutea maana hua namwambia alete uthibitisho wa wewe kama upo na ubaya hua anaishia kuleta maneno Bora Leo nimewakutanisha mmalizane wenyewe maana Wmathanzua anasema unanzishaIla Shetani hana Ubaya labda unitajie wewe Ubaya wake ni upi ukiacha propaganda za watu kutenda maovu kuwa mawazo yako yanakutuma unafanya mabaya halafu unasema shetani wakati hata siku moja hujamuona
Mimi nataka uniambie Ubaya wa shetani wewe umeipata wapi ya kuwa shetani mbaya umejuaje juaje achilia mbali watu wanatenda maovu wansema shetan wakati ni akili zao niambie ww ubaya wake upiBinadamu utamteteaje Shetani,unless you tell me you are not human,maana JF kuna mambo.