Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Huo ni ujinga ukiharibu uhusiano wa watu kwa kumlaghai mmoja wapo ujue hata wewe tukimlaghai atakutoroka akapigwe pumb kwingine
Safi TU mi Sina tatizo na hilo, ila ujiandae kwa Shari na visasi Maana Mimi always simuachiagi mungu[emoji4]
 
HIZI Mambo za KUVURUGA watu wanafanya Sana hasa wadada akimpenda mwanaume kweli kweli.

Sisi wanaume tukifanya kdg TU, tunaonekana wabaya tunaombewa karma itutatafune[emoji4]
 
Maisha haya bana, tunapambana mpka inafika wakati kuna zile talent zetu muhimu zinapotea[emoji23][emoji23].

Hiv mimi sio kawaida yangu kumuacha ninaempenda eti kisa yuko na mtu mwingine.

Kuna ulazima wa mimi kuji-Upgrade niurudishe ule uwezo wangu sas wa kuwasnich na kuwaachanisha wapendanao ili kumpata nimtakae.

Nikikaa kizembe hii Valentine's day nitakula soda nikiwa single[emoji23][emoji23]

Sema nini watu tuna matukio mazito na yaajabu, nais hata kuandika humu wahusika wakisoma itakuwa very bad[emoji23][emoji23] i mean the 3world war will erupt
Very sad
 
Ana akili za kushikiwa huyo mwanamke soma visa vyake, akiwa bibi atakuwa kapokea mshara, mtu anapewa kila kitu na kazi katafutiwa na bonansi anapata anadai elifu 20 kila siku. Akiwa bibi atakuwa kavuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…